Nampenda huyu Mhadhiri wa kike, sijui nimweleze au?

Mjukuu hapo kwenye red duh!!
 
Mwenzetu badala ya kuconcentrate masomo unammezea mate mhadhiri wako? Yuko singo au ni mali za watu?

Hii inathibitisha japo kuwa mchana kuna jua mchana linalowaka tunahitaji kutembea na taa za chemli kwani Watanzania wengi wapo gizani, huyu jamaa kamtamani mwadhiri wake na inaonyesha yeye mtu akimtolea tabasamu tu "anarogeka"
 

Mjukuu mtiifu, angalia isijekuwa ni kale ka mwanafunzi kako ka darasa la nne kanakumendea afu hapa kanazuga kako chuo na wewe ndo mwenye PHD yako......katakuwa kanakuchungulia, usivae tena kimini...STUKA!
 
Mmm kuwa muwazi,unamtaka kimapenzi tu uoshe rungu au unataka kuoa,kumaa ukitoswa utatulia japo mwanaume hutakiwi kukosea kulenga
 
Hii inathibitisha japo kuwa mchana kuna jua mchana linalowaka tunahitaji kutembea na taa za chemli kwani Watanzania wengi wapo gizani, huyu jamaa kamtamani mwadhiri wake na inaonyesha yeye mtu akimtolea tabasamu tu "anarogeka"



mhh jaman sio kiivo kwan mwanafunz sio bnadam?awez kutamana au kupenda?
labda ni mkaka mkubwa tu sema ndo kampenda tcha....sio zamb saaaaaaana ya kucondem kiiivo

dent ni bnadamu pia...ana filing km mfanyakaz wa kawaida
 
ahh wap kachaliii ndo kamemaliza feza boys last yr ndo kameingia chuo mwaka u....mbona asemi ana miaka mingap

Hatarrrrrr sana hii!....ndo kanabalehe na kumendea PhD holder?
 

Hapo kwenye red hayo unayaweza kuyapata kwa waliogizani wasiojua nini maana ya ethics sina uhakika lakini nadhani pia wapo madaktari na manesi wanaofanya ngono na wagonjwa wao! Polisi wanaofall kwa watuhimiwa wakike na maboss wanaowakamua waliochini yao! Ukiangalia huo mlolongo utaona kwanini elimu yetu inashuka! kwanini kila sehemu watu hawawajibiki? kwasababu boss anatembea na wafanyakazi wake na waalimu wanatembea na wanafunzi wao baada ya kazi wanapita sehemu kuvunja amri ya sita asubuhi mfanyakazi ataingia saa nne boss hatakuwa na la kufanya economical huyo mfanyakazi ni mzigo kwa shirika maana muda wake wa kufanya kazi hautimii! ndipo sasa tutaanza oooh serikali ndio chanzo mara hivi mara vile nasema hiviiiii "sisi ndio chanzo" cha yote kufeli kwa wanafunzi, huduma mbaya za kijamii na kadha wa kadha!

Haya na tuendeleze libeneke na wahadhiri wetu wa kike na wakiume nao waendeleze na mabinti wanaosoma kwenye lectures zao ili ngoma iwe droo, madaktari msijiweke nyuma ukiona nesi au mgonjwa bomba omba game. Polisi, majaji na mahakimu msijiweke kama mayatima kwani nyie mna nini na wahadhiri wana nini onyesheni maujuzi kwenye yale mambo yetu msiogope kuambiwa hamtendi haki kwa watuhumiwa kwani mapenzi kama majani huota popote na kwenye nchi isiyona maadili "ethics" majani huota hata moto unaowaka! Tafakari na siku njema.
 
Mjukuu mtiifu, angalia isijekuwa ni kale ka mwanafunzi kako ka darasa la nne kanakumendea afu hapa kanazuga kako chuo na wewe ndo mwenye PHD yako......katakuwa kanakuchungulia, usivae tena kimini...STUKA!
Mie nna PhD?? labda ya nyagi
 
mhh jaman sio kiivo kwan mwanafunz sio bnadam?awez kutamana au kupenda?
labda ni mkaka mkubwa tu sema ndo kampenda tcha....sio zamb saaaaaaana ya kucondem kiiivo

dent ni bnadamu pia...ana filing km mfanyakaz wa kawaida

Dent ni binaadam na waalimu wanaoshutumiwa kuwapasisha nakutoa shahada za "chupi" ni binaadam pia.........
 
Aksante kaka naheshimu sana mchango wako.
 
Pole bro, wat i know love has no limit. Nakushauri ufanye investigation kwanza kujua kama kaolewa au bado, olwys lecturer walio olewa/wachumba huwa wana shobo kweli anaweza kukula kichwa au kukuaibisha laivu. Nikipe huu mfano wa hapa chuoni kwetu, kuna jamaa tukiwa 2nd yr alimtokea mdada lecturer yule dada kamkubalia fasta akachukua namba ya cm ya jamaa, baada ya ck 2 jamaa kapigiwa na yule mdada akimuita aende ofisini kwake baada ya jamaa kufika akakuta kuna lecturer kama kumi wakiwa na yule dada, baada ya jamaa kuingia ndani yule lecturer wa kike akadakia fasta kwa kusema 'huyu hapa ni shemeji yenu naombeni tumsikilize eti ananipenda' jamaa kaanza kutetemeka na kuomba msamaha kwa kosa la kumtñgoza lecturer na akasamehewa. Ila baada ya ss kufanxa uchunguzi tukagundua kuwa yule mdada alikuwa na mchumba lecturer mwenzake
 




mhh kumbe analeta mihemko ya kubalehe apa?
jana kaleta post awez KUMKWEA mwenzake leo anasema anampenda ticha

nimesence km sio miaka 14 basi 19

mtoto ana swaga za ktotooooooooooooooo...joniiii joniiiiiiii yesssssss papaaaaa eatng sugar?
aya malizia dedcation yako io
nilikuwa nakutetea apo juu kumbe i was wrong ...u mtoto...
KUA KWANZA...MWWALIMU TAKUBALASA TU..UNAONEKANA AUJAMALIZIA UCHAVUSHAJI...
 

Dogo acha mapepe!!! Umekwenda chuo kutafuta degree au kumezea mate walimu zako??!! Angalia dogo usione vyaelea ujue vimeundwa!!

GRADUATES WITH A's AND NOT AIDS
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…