Rose1980 sasa hiyo nyingine tunafanya leo si ndio
Jamani
mwone huruma kidoncho
mybe THIS IS IT FOR HIM ...
Usiende tenA KULE
kwenye yale mafile
Kutoa siri zake basi..
Dahhh naona
ROSE1980
kasha kuajiri..
mmmhhh
Hahahah lol
mie sina shida
shida itatokea nikienda
shopping halafu hiyo credit card
I Declan..
Itabidi ni mwachishe kazi hahaha lol
Ahaaa ahaaa halafu si unajua mimi sio SHAROBARO wakina Oyoyo Oyoyo, yaani hapa kazi tu kama Juma Nature anavyosema kwanza inabidi tupige kitu cha Ugali na Mnyama kilo tatu halafu tunashushia na kitu cha Red Bull na maji halafu tunachukua halft time ya dakika 30 hivi baada ya hapo game linaanza tunashambulia kutoka upande wa magharibi kwenda mashariki formation itakuwa ni 4-4-2ndo manke babu..the same venue the same tyme..nakat ya eliza bamida ya jion kwenda kulala
we jtayarshe tu kwa pushap za apa na pale..ukiutaarifu mwil rose iz coming..
and ntapenda tuchepuke kwanza kwako kdg kwa dk5 ivi nkaoshe sandoz zangu asi unajua uku brazil matopeee...majjjothooo ming so tutaenda kwako ukanimiminie maj by low pressure while im sratchng em in high force in small area...teh teh sandoz ztatakata izo...yees TAFUTA WORKDONE APO...
ehh kumbe shopng zote zile alizokuwa ananifanyia CARD ilikuwa yako?ehh asante mwaya
usimnyanganye kad io bwana ajamaliza kunifanyia shopng ya kucha pls mwache kdg atakurudishia j3 asubui ..acha tuwe nayo wknd
wadau wa jamvini, ukweli tumekuwa tukishauriana mengi tena kwa ustarabu na busara ya hali ya juu. Mimi ni mwanafunzi ktk chuo fulan hapa Dar, nimetokea kuwa na hisia za kimapenzi kwa mwanamke mmoja mrembo, mhadhiri mwenye hadhi ya Udokta PhD, Si wamakamu sana bt ni mrembo, mwenye tabasamu la ushawishi. Nashindwa nimweleze au laah! Na sijui ntapomwambia Reaction yake itakuwaje bt NAMPENDA KI UKWELI, Please wadau nisaidieni kwa ushauri, mwenzenu nipo njia panda!
tangazo: Vitambi havitakiwiahh mwaya ngoja tu nimwajiri kadig dig..vtambi vkubwa svtak mie...wazito lakin uyu ahhh mwembambaa ni shwaaaaaaaaaaaa shwaaaaaaa km nalia vle...ao wenye vtamb akina roy,babu ,kimey nimeakuachia wewe:love:
After this.......Hebu ni-pm jina na kituo cha kazi cha huyo mhadhiri.....nimfanyie tathmini.....
After this.......
https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/122431-super-shafti-imechemsha-nifanyeje.html
Gagurito naomba clarification kidogo kuhusiana na hii thread yako maana ulisema unaogopa kukimbiwa na mpenzi wako, sasa unataka kuwachanganya wote huyu mpenzi wako na huyu Mhadhiri wa Kike???????
Nitakula wapi au ndio unataka nilale njaa??
Wewe ndio makamu mkuu wa chuo nini l.o.lNipo hapa kwa kazi maalum.....only after this!
Hus tokea Jumatano uko Posted via Mobile naanza kupatwa na wasiwasi uko chumba namba ngapi???habari yake TF.
Mimi penda hiyo uliyobandika hapo.
Mbona wapenda kunichokoza wewe unataka tuanze kurudishana kwenye mambo ya kulazana nje ya nyumbaDo not worry
Binadamu hashibi
Kwa mkate tu
bali kwa kila neno litokalo
kwa MUNGU ....
HAHAHAH lol
hivi Leo ijumaa
au jumapili lol..
Wewe ndio makamu mkuu wa chuo nini l.o.l
Ahaaa ahaaa halafu si unajua mimi sio SHAROBARO wakina Oyoyo Oyoyo, yaani hapa kazi tu kama Juma Nature anavyosema kwanza inabidi tupige kitu cha Ugali na Mnyama kilo tatu halafu tunashushia na kitu cha Red Bull na maji halafu tunachukua halft time ya dakika 30 hivi baada ya hapo game linaanza tunashambulia kutoka upande wa magharibi kwenda mashariki formation itakuwa ni 4-4-2
Acha kuharibu taimingi.....upelelezi wako hebu uelekeze zaidi kwa AD na Rose....
tangazo: Vitambi havitakiwi
ehh kumbe shopng zote zile alizokuwa ananifanyia CARD ilikuwa yako?ehh asante mwaya
usimnyanganye kad io bwana ajamaliza kunifanyia shopng ya kucha pls mwache kdg atakurudishia j3 asubui ..acha tuwe nayo wknd