The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Nafikiri tutauana si unajua tena maujanja supply, hivi MESSI NA CRISTIANO RONALDO nani atamkaba mwenzake l.o.lni kweli
na ntakuletea konyag na supu ya pweza...hah haha hah!!!!!!!!!!
akikisha ambulance ipo nje plls stak kuambiwa nimeuwa mie akhu!!!!!
m just skippng the rope..bt for u i wl sit down...love u RR!!!!!
DIG DIG ANANICHOKOZA TU MISTAK...ntamsemea kwako mimi ohhoo ohoo..sasa inakuwaje rr?
Kucha...? Zinauzwa wapi...?
Hapa mi kwisha....:love::love::love::love::love::love::love::love::love::love::love::love::love:
eehh we wawap kaka?
nenda pale mwenge kuna kucha kuanzia buku mpaka laki..wewe tu unataka kucha gan
au nenda mariedo apo twn,shear illusion kaulize kucha sh ngap...au km vp njoo nkupeleke nkakuonyeshe maduka yoote...UNA ELA LAKIN?
habari ya beb toa ela mi walet yangu ipo kwenye gar stak mieee...:love:
Nishtue nitakupa:A S-key::A S-key::A S-key: wa KijerumaniAcha kuharibu taimingi.....upelelezi wako hebu uelekeze zaidi kwa AD na Rose....
Nafikiri tutauana si unajua tena maujanja supply, hivi MESSI NA CRISTIANO RONALDO nani atamkaba mwenzake l.o.l
Alileta Sanaa kwenye Jukwaa la SanaaMmekonkludi nini hapa?? So alileta utani kazini au yuko siriazi?
Nishtue nitakupa:A S-key::A S-key::A S-key: wa Kijerumani
Rz hebu twende chemba kidogo unielekeze, hapa upenuni noma, maana mi nimeletwa tu.
Huyo unayemuona sio RR ni mtu anatumia ID yake so wewe jiachie tu.... I mean tujiachie tu.ahh misjui mamichezo bwana..sjui ata kimoja ..namjua morinho tu cz nampenda akivaa napendeza...na anaonekana he is a man..yupo rensponsbo na ayumbish neno kwake A IS A n nt the 1st alfabet...bt u hah haha ur ma ....rr yupo karibu?km hayupo nambie nimalizie ur ma...:love:
Yeah ana PhD ya finance mcheshi na mrembo nikimwona nasinzia :bored:
usijali ...nambie tu ntakuelekeza...
Unamaanisha mlango wake ni wa tembe ukikugusa kwa kidole tu chini mwambie nina mbao za mninga na mpodo achague anataka zipihahah hahha apochachaaa!!!!!!
et anajitia ana funguo toka VATCAN...hah haha wap wewe wakat ata mlango huna ..mlango wake wamatete anafanya kuubetua kwa juu anaingia ndani...
Hus tokea Jumatano uko Posted via Mobile naanza kupatwa na wasiwasi uko chumba namba ngapi???
Dinner yangu vipiDaaahh
Safi kama yuko
single muulize kama yuko
free tonight mtoe out kwa dinner..
mmhhh..
Yaani tokea Jumatano uko jikoni???hahahahaha! Nipo jikoni mwenzio.
nimekwambia nichek faraghani, mbona bado unanirusha hewani?