Nampenda huyu Mhadhiri wa kike, sijui nimweleze au?

angekataa mimba si yake....

Akatae wapi, kwanza jamaa alijiona misifa kumpa mimba supervisor wake, pili supervisor mwenyewe alishatangaza kila mahali! Hawa wenzetu wazungu wengi waowana mtazamo tofauti sana kuhusu mimba kwani huwa inatangazwa tangu mhusika anapokosa siku zake, yaani kabla hata tumbo halijaonekana marafiki wote wameshajulishwa kuwa ni mtoto wa jinsia gani anatarajiwa na birthday imeshapangwa! Na nyingine kubwa inaweza kuwa ufadhili, ule formal (wa sponsor wa hiyo PhD program) na informal (support anayopata kutoka kwa huyo mama). Mimi nimewahi kuona watu wana PhD supervisor ambao wengine tulikuwa tunawatania 'co-candidate' maana ule si usimamizi tena bali ni kuifanya pamoja hiyo PhD, tena supervisor anafanya zaidi! Uchakachuaji uko sehemu nyingi sana! Hebu niambie katika hali kama hiyo, ungekuwa ni wewe ungethubutu hata kujaribu eti kumkana mzazi mwenzio huyo?
 
Sheria namba ngapi inasema hivyo? Mbona mara kadhaa hata nchi zilizoendelea, husband and wife wana co author na vyeo vinapanda. Kama ni mtihani always kuna second marker. Kama ni journal paper ni kawaida kushirikiana na hamna wanaposema if you are husband and wife don't publish. Sioni shida hapo. Ila kwa kuwa kuna power distance kati ya mwalimu na mwanafunzi nashauri usubili umalize shule kwani mwalimu atahisi unamletea dharau.
Duh! Kama ingekuwa maadaili haya yanafatwa vyuo vyetu vya TZ wanafunzi wengi wangekuwa hawana walimu, na walimu wengi wangekuwa na wanafunzi wachache!
 
Angalizo asiwe mke wa mtu. Pili usiwe kiruka njiia, ukishamtokea yeye siyo uanze tena kwenda na vi denti vyenzako utafeli mpaka unaingia kaburini.
 
wewe kaka unataka shahada yako au huitaki? hawa waliosoma kiasi hicho wengi wao hawataki mzaha na maisha chunguza kwanza kama kaolewa mpotezee ila kama yuko single ndio umtokee tena anza kwa visifa vya hapa na pale sio unaenda kichwakichwa atakutolea nje na kukukasirikia haswa
 


...hehehe...eti labda nae anaugulia moyoni, Mwj1 unataka huyu kaka afukuzwe chuo kwa utovu wa nidhamu ee?
 
mmh chuo ctaji, waweza mkawa mwamjua teh! teh! Ngoja roho yangu iteseke tu!
 

...hajaolewa, she is still single. Mnh? Pana mtihani hapo kuliko hayo masomo unayosomea.

Kwa urembo na mvuto ulivyotusifia hapa, nahisi yupo committed bana... Anyway, jaribu kutuma CV yako.
Pole sana kaka, mambo ya unrequited love hayo, waweza jifunza mengi hapa pia; https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/124457-inakuwaje-mambo-haya.html
 

Nampenda kweli huyu mwanamke ndugu zangu, nipo mwaka wa tatu sasa, nadhan atakuwa na umri wa miaka 8 mbele yangu bt shep ipo normal, was was wangu nikitoswa Itaniuma sana, then anaweza NIDAKA CLASS!

Yah ananifundisha Research Methodoloy teh! Ni lekchala wa class langu kabisa!

Laiti ningewezahisi ni chuo gani

mkuu Mbu unakaribishwa JF. "The home of great mysteries".

...hehehe...eti labda nae anaugulia moyoni, Mwj1 unataka huyu kaka afukuzwe chuo kwa utovu wa nidhamu ee?
 

Mweleze tu akikubali hongera sana, Lakini akikataa ujue Discontinue ni haki yako.
 
Naogopa kudisco kweli, mbaya zaid washikaji wakijua kisa ni mapenz dah! Kunji la kunitetea halitakuwepo!
 
Gagurito yuko UDSM maana hakuna chuo zaidi ya hicho inayofanya kunji kumtetea mwanafunzi aliye-disco.
 
Mwenzetu badala ya kuconcentrate masomo unammezea mate mhadhiri wako? Yuko singo au ni mali za watu?
hili neno...kwa mantiki hii kijanaa utakuwaa uconcentrate na lecture yake..we umeweka matamanio ya kimapenzi.sio thambi kupendaa ila chekii sanaaa
 
..hehe! Klorokwini ulisoma hapa chini?



...mimi naiacha hii sredi bana, haijanikalia sawa kabisaaa :nono:
nami nang'atuka. Tusubiri konklushen ya hii sredi ili tuelimike.
 
mzee ckushaur,unatafuta Sup nin? Kabla hujamtokea hakikisha GPA yako imekaa fresh,co unaenda kutia voko wakati una ma 'incomplete kibao
 
Ni kweli kwamba hatuwezi kuficha hisia za mapenzi, lakini ni bora kutumia akili zaidi ya hisia. In case baba yako amekuwa single na ameoa bi mdogo ukampenda, utafanyaje? Achana na huyo mwalimu, endelea na shule yako umalize masomo ndio umefikirie mwalimu wako. ebo!!!
 
The Finest, Mbu na Klorokwin..............hebu someni thread kwa umakini mbona mko hivyo nyie?? mie nimemsaidia tu bwana Guninita sijui............. waone vile vichwa vyao loh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…