Nampenda ila uwezo sina

Nampenda ila uwezo sina

dekitambi

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2015
Posts
663
Reaction score
762
Habari,

leo natoa ya moyoniNampendma sana Jacke but ilinikamwambie yaliyo moyoni mwangu pesa sina za kunifikisha kwao

Japo kua nilisha semaga siwezi kuzama chumvini ila kwa Jackie nitazama

NIPENI USHAURI JAMANI NIFANYE NINI ILI NIMPATE
MAANA HATA # YAKE YA SIMU SINA [emoji21] [emoji17] [emoji17] [emoji17]

JACKIE NI HUYU HAPA CHINI
86a984fa945a5676db92656ca998a8b6.jpg
3838df3adcf1764f977c1a6bb1d4a905.jpg
106a6ac3450ad6869321cfecf8e6fe7c.jpg
 
Tafuta kupatana na MUNGU, nimeoneshwa una shida nyingi za kiroho ikiwemo pepo baya la kutamani wanawake wakati wote

Hebu nitumie majina yako mawili in box nikuweke kwenye maombi uweze kuondokana na pepo hilo
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Tafuta kupatana na MUNGU, nimeoneshwa una shida nyingi za kiroho ikiwemo pepo baya la kutamani wanawake wakati wote

Hebu nitumie majina yako mawili in box nikuweke kwenye maombi uweze kuondokana na pepo hilo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
This is really funny
 
Kuna mwenzako alimuiaga jackie aka muacha hata mda haukupita

Waigizaj wana mattzo sana nadhani
 
Dah usipoteza muda .,fanya kazi kwa bidii, acha ndoto za kikapuku, huyu kasha ng'olewa kitambo sanaaa
9c66d8c625ca877d6d1689b0353e0cf5.jpg

53a562d2579f812938385ca88cb89bfd.jpg

0b8e0a76e270d214bcc44da3487cad03.jpg
 
Dah usipoteza muda .,fanya kazi kwa bidii, acha ndoto za kikapuku, huyu kasha ng'olewa kitambo sanaaa
9c66d8c625ca877d6d1689b0353e0cf5.jpg

53a562d2579f812938385ca88cb89bfd.jpg

0b8e0a76e270d214bcc44da3487cad03.jpg
[emoji17] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji24] [emoji24]
Sikati tamaa
 
[emoji15] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji16] [emoji16] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakati Mwajuma Ndala ndefu halali kwa kukuwaza wewe unawaza katika nchi ya kufikirika
 
We we acha kutudanganya huyo mrembo ni muigizaji kutoka Ghana ameigiza movi nyingi tu ikiwemo Passion of ....
 
Ahaaaaaa loh si utafte huku kwetu? Ni kweli huyo dada ni mrembo wa sura ila hapa tz kuna vifaa vya kumzidi. Labda kama unavutiwa na ufupi wake.

Dah mapenzi upofu pamoja ma yeye kuolewa tena mara mbili bado unachananyikiwa? Mapenzi kidumu chama cha mapenzi
 
Back
Top Bottom