arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Unachotakiwa kukifanya ni kum-PM, ngastuka machare kundesa, unataka kureplace hiyo chance.Kwa Sasa uko wapi ?????
Pole dada, jipe moyo, usimtende Mungu dhambi nyingine ya kuitoa hiyo mimba wala usihangaike na hilo limtu lisilojali hisia na maisha ya watu. Simama omba neema ya Mungu ikuvushe hapo salama. Huyo mtoto Mungu akikujalia ndiye atakayekuwa furaha na faraja yako, ndiye atakaye kupenda wewe. Dunia yote yaweza kukugeuka lakini mtoto wako atasema huyu ni mama yangu. Na huyo anayesema umuue sasa atakuwa anayakumbuka hayo maneno yake kila atakaposikia na kumuona huyo mtoto.
Habari zenu waungwa,
Nna jambo langu linaninyima usingizi, Kuna Mpenzi wangu wazamani sana nilidhani alikua ananipenda lakini nimegundua hanipendi au ananitumia tu
nilikua nae kwa mda wa miaka 8, ghafla nilikua na mimba yake akasema hayuko tayari niitoe,kwakua sikua na nia mbaya na yeye nikasikia kua anamtoto wa njee huku akisema nakupenda mpenzi nakupenda, sikutaka hata kumueleza nini kimetokea nimemwandikia ujumbe mfupi kua mimi na yeye basi sababu nimemueleza mdogo wake amenatosha kumueleza lakini maumivu nilionayo anajua Mungu,naombeni msaada wenu,lakini kurudi sitaki.