Nampenda lakini naogopa kibuti


sasa na sisi tufanyaje wakati we muhusika hujui la kufanya.
 

Wewe sio mhitaji bwana, kwa nini ufikirie kibuti wakati hujamwaga sera zako?
Acha kuwa na moyo wa kukata tamaa, ukute mtoto mwenyewe akikuona tu anazimika
Hebu tupatie historia yako ya vibuti, maana historia pia inahusika.
 
Sema usikike mkuu ha unaogopa nini???
Dena Amsi watuwazima hawaulizi mwaganyuki kukukaingia mwenyewe bandani unaenda kuulizia kwa mjumbe!!!D hakuna mwingine jf kuna preta,bht,nyamayao,fl1 nawengine siunaona hakuna D!
 
Dena Amsi watuwazima hawaulizi mwaganyuki kukukaingia mwenyewe bandani unaenda kuulizia kwa mjumbe!!!D hakuna mwingine jf kuna preta,bht,nyamayao,fl1 nawengine siunaona hakuna D!

KK umeua bendi kabisa haya kazi kwake hapo kashindwa kusema domo zege nini???
 
BE akirudi, atanza na bacha halafu jasiri
 
Halafu Elia nawe acha upambe bwana nini lakini mbona hivyo unataka wenzio wauwawe??

Hawata uwana ila ni nitafaidi napenda boxing hasa la watu wasio na mazoezi ha ha ha ..
 
Bana eeh liwalo na liwe mi ntasema lililo moyoni mwangu. Ninayempenda ni bi. Dena Amsi. Kila nimwonapo hapa moyo wangu hudunda.

Dena weee sijui ni nini tu. Labda ni hizo embe dodo...labda ni hiyo miguu ya chupa ya bia...huenda ni hizo nywele nyororo kama hariri....lakini hayo macho ndo mashallaaah....yananimaliza nguvu miye.

Dena ooh Dena....kwa kweli nimekupenda. Uzima wangu uko mikononi mwako.
 

Uwiiiiiiii Ote Mayiiiiiiiiii Mburaaaaaaaa mie nimekwisha sasa namsubiri BE, TF na Bacha waje waseme mie naogopa sasa. Jasiri we kweli Jasiri
 
Kuangushana wapi ukumbini au kitandani wewe acha hizo bwana aaahhh

Yaani unapopigana target yako inakuwa miguu ya mpinzani wako. ukiikamata yote miwili vizuri, unamdondosha halafu ugonvi unaendelea
 
Bacha, BE, na TF washindwe kwa jina la infii. Si washindwe tu ni walegee kabisa. Kwa Dena mie nshafika siambiwi wala siskii.

Ooh Dena aaah jamani
 
Bacha, BE, na TF washindwe kwa jina la infii. Si washindwe tu ni walegee kabisa. Kwa Dena mie nshafika siambiwi wala siskii.

Ooh Dena aaah jamani

Una vituko wewe lakini haya yangu macho mie sisemi kitu mwaya naogopa mie heee haaa
 
Uwiiiiiiii Ote Mayiiiiiiiiii Mburaaaaaaaa mie nimekwisha sasa namsubiri BE, TF na Bacha waje waseme mie naogopa sasa. Jasiri we kweli Jasiri

BE, TF, bacha na jasiri bonge la muvi :whoo:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…