Nampenda lakini naogopa kibuti

Una vituko wewe lakini haya yangu macho mie sisemi kitu mwaya naogopa mie heee haaa

Wewe ni asali wa moyo wangu...kachumbari wa raha yangu...na uzima wa uhai wangu.

Wallah niko radhi kukupa chochote kile uwe wangu wa milele..subah illna lillah
 
Wewe ni asali wa moyo wangu...kachumbari wa raha yangu...na uzima wa uhai wangu.

Wallah niko radhi kukupa chochote kile uwe wangu wa milele..subah illna lillah

Kumbe mashairi unayajua, sasa ulivyo act unaogopa ulikuwa unategemea nini???
 
Wewe ni asali wa moyo wangu...kachumbari wa raha yangu...na uzima wa uhai wangu.

Wallah niko radhi kukupa chochote kile uwe wangu wa milele..subah illna lillah

Uko tayari kunipa chochote?? Hii nimeipenda ngoja nikuPM nione kama kweli. Namtafuta
 
Uko tayari kunipa chochote?? Hii nimeipenda ngoja nikuPM nione kama kweli. Namtafuta

Wallah binti Amsi mie sileti utani hapa. Wachotaka utapata bila hiyana...aaah binti Amsi weeeee
 
Wallah binti Amsi mie sileti utani hapa. Wachotaka utapata bila hiyana...aaah binti Amsi weeeee

Jasiri wewe haya nataka uninunulie ndege kesho niende nayo kwetu mwanzaaaaaaaaaaaaaa
 
Dena pinda mugongo wee zanichomachoma...Dena pinda mugongo wee zanichomachoma....

Pengine wajiuliza nini hizo zanichomachoma....aaah hizo embe dodo....zanichomachoma
 
Dena pinda mugongo wee zanichomachoma...Dena pinda mugongo wee zanichomachoma....

Pengine wajiuliza nini hizo zanichomachoma....aaah hizo embe dodo....zanichomachoma

Jasiri kwani leo umeamkaje bana wanitia majaribuni mwenzio nashindwa kwenda kijijini kwetu kumalizia kupika pombe ya sikukukuu
 
Ha ha ha rubani wewe mwenyewe twende kazi sasa!!!

Wala usiwe n'shaka binti Amsi. Ndege ikupakiayo lazim niirubani mwenyewe kuhakiki usalaama wako kachumabri wa raha yangu
 
Jasiri kwani leo umeamkaje bana wanitia majaribuni mwenzio nashindwa kwenda kijijini kwetu kumalizia kupika pombe ya sikukukuu

Kinacho ananambia si vibaya kuyajaribu hayo majaribuni kwani bila kujaribu huezi jua atii...maneno ya Kinacho hayo!
 
mmmh jamani si umwambie tu mwenzako ajijue kama kapedwa, si unajua kupedwa ni raha shost!!!:teeth::teeth:
 
Kinacho ananambia si vibaya kuyajaribu hayo majaribuni kwani bila kujaribu huezi jua atii...maneno ya Kinacho hayo!

Haya gari ya mwisho hiyo nakwenda Jasiri tuonane kesho basi. Good night!!!!
 

Mbona jina lako haliendani na unachokisema?hujawahi kukataliwa?basi wewe sio mwanaume sawasawa...
 
BE,Bacha,etc Hawa watu wako wapi?kweli wanatiwatiwa hovyo vidole machoni wanabaki kimya??Dena Amsa inaelekea umeridhia sikusikii kukemea kwa nguvu zako unaishia kusema eti nita ku pm!!!wewe leo wakusema hivyo??hata fungate alijaisha?!!nijuzi tumewafungisha ndoa na BE mwenyewe ukatamka BE ndo moyo wako umejikwaa kwake leo hii unashawishika kwa jasiri??kweli Dena Amsi????siamini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…