Nampenda lakini naogopa kibuti


KK nilishatoa ahadi mbele ya paroko siwezi kuvunja ahadi yangu na BE kamwe hawa ni watoto unakwenda nao taratibu tu Jasiri hawezi kunifanya nivunje ahadi yangu kwa BE hata kidogo wewe ni shahidi. Unajua tunapiga sala kwa kuomba mwaka 2011 uwe mwema kwetu. Thanks kwa angalizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…