Nampenda Ledada Wa Jf

Kama kichwa cha habari kinavyosema, nimetokea kumuelewa huyu member wa humu Jf, anaeitwa ledada, Kama utaisoma hii posti ledada jua nakuelewa sana, na npo tayari kukuoa kwa gharama yoyote ile, nakupenda
Mmmh hii nayo yakufungia mwaka

Umetisha mkuu, huu uzi naona utakuwepo special kwa ajili ya kuwakilisha ya moyoni[emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…