prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Siyo kimapenzi ila ni mama anayestahili kuigwa na wasichana wa kitanzania mana ananyoa upara ili kupunguza gharama za maisha siyo kama hawa wanawake wanaotusumbua ati hela ya kwenda saluni kutengeneza nywele..mie siangalii artificial nangalia natural
