prof.mutunga
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 341
- 60
Yani unarusha ndoano leo kwa msichana kesho hela ya kwenda saloon its all about commercial sex bora nitafute anayenyoa upara ila ana sifa zingine hapo tutapata maendeleo
Mbavu zangu mkuu...!huyu ndo mumewe?Tuwekeeni basi na ya huyo rahel!
Mkuu inabidi uwe unapima afya za mbavu za watu kabla ujapost!huyu ndo mumewe?
Tuwekeeni basi na ya huyo rahel!
Low cut ni style poa tu