Nampenda mke wakooooooooo!!!!!

Nampenda mke wakooooooooo!!!!!

Kifulambute

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2011
Posts
2,539
Reaction score
758
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
 
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?
Unauliza nawewe kesho mwambie hivyo hivyo!!Akiendelea mwambie nampenda Mamayako mwambie namsalimia!!:mod:
 
hahahahahahah Kakakiiza sasa hapo itakuwa ugomvi mwishowe.
 
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Mhh hapo utata kiasi. Wife wako na jamaa wanafahamiana?
 
Wanafahamiana sana na mara nyingi kama tutakutana naye nina wife wanaitana shemeji shemeji
 
Hii thread kama ya nanihii hivi kutokana na majibu yako, im out
 
Mlimazuzu kweli sijawahi kumwambie wife ila jamaa kila nikikutana naye anasisitiza sasa nimechoka sana.........nataka kutembea na panga sasa
 
Huyo ni mtani wako, usijali maana kama angekuwa anampenda kwa kumtamani asingekwambia.
 
muulize upendo huo ni wa namna gani??? kwa nini unakwazika??
 
Mlimazuzu kweli sijawahi kumwambie wife ila jamaa kila nikikutana naye anasisitiza sasa nimechoka sana.........nataka kutembea na panga sasa
Jiamini wewe ni mwanaume......achana na wivu wa kichekechea...ovyo.Si bora huyo anakwambia msalimie...kuna wengine wana'mnunulia chupi'' huyo mwenza wako.
NB:Ukimfuatilia mwanamke na vitu vidogo vidogo utaishia kuchanganyikiwa......
 
Mwambie mkeo hiyo tabia ya kuitana shemeji na salaam anazokutuma huyo anayemuita shemeji huzipendi, na huyo mwanaume mwambie ukweli hiyo tabia huipendi, kwanini uumie, sema naye ili aelewe, huenda anakutania tu hana maana yoyote mbaya! ila pia huenda kuna kitu kinafichwa hapo, kwa hiyo bora useme ukweli wako
 
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?


Dah... hapa inabidi kutulia... mmmh nitarudi... Pole by the way ila uwe na amani hajatembea nae ila anampango... kama nilivyosema nitarudi...
 
dah... Hapa inabidi kutulia... Mmmh nitarudi... Pole by the way ila uwe na amani hajatembea nae ila anampango... Kama nilivyosema nitarudi...

sasa hapo ndio unaniumiza kichwa maana sasa na mimi nitaanza kusubiri mke wake maana wanaoana mwezi ujao.
 
Jamani jamani nisaidieni mawazo.... ni siku nyingi kuna jamaa tumezoeana nae ila sio sana maana hupishana tu na kusalimiana na story za kawaida sana. mara nyingi huyu jamaa huwa anapenda kusema hivi....."Msalimie mkeo bwana mwambie NAMPENDA SANA" jamani wanajamvi hebu nisaidieni katika hili kama ungekuwa wewe ungefanyaje?

Eyeeee...! Kama una kifua cha plastic uishie hapo, lakini kama una uhakika kuwa una kifua cha chuma useme nikupe products za Great Thinking....!
 
Back
Top Bottom