Nampenda mpendaaa!

Nampenda mpendaaa!

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
Nampenda mpendaaa
Naanii
Kijana mmoja
Naani
Mzungu kidogo
Naani
Tajiri kidogoo
Bosi kidogo
Naani
Mweusi Kidogo
Naani
Mrefu kidogo
Naani
Mpole kidogo
Naani
Ana mwili mzuri
Naani
Magari mazuri
Naani
Mijumba mizuri
Naani
Na roho nzuri
Naani
Na moyo mzuri
Naani

Au si wa hapa si wa hapa dii dii dii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Au kama hamtaki mniambie dii dii diii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Nikae chini nilie dii dii diiii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wala Sitatafuta mwingine dii dii ndii
Eeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Ninani huyooo
(....................................................)

Nitajieni nimkimbizeeeeeee

Hahaha utoto raha sana
Nawewe Imba nyimbo yoyote ya utotoni

Hii ni chitchat
 
[QUOTE="Kaboom, post: 20418022, member: 59]Halafu unakuta uliyemuimbia hivyo ikifika zamu yake anamuimbia mtu mwingine..Unabaki unaduwaa tu[/QUOTE]
Hahaha lol
Kumbe nawewe uliimba???
Safi sana
Akimuimbia mwingine unapingua anakua sio rafiki yako hata ukinunua kitu haumpi nakwanza haumuongeleshi
 
Kalime upate pesa yako..! Etii tajiri kidogo ngoja tufe na pesa zetu mtuache na hamu zetu.
Safi. Huu walikua wanaimbiwa wanaume nini!!!?? Make dahhhhhhhhhhh!
 
yupo humu?
Hahahaahhaha lol
IMG-20170325-WA0000.jpg

miss chagga shogangu nakuja chemba tutete
 
karibu mamy kama yupo humu duh kama anapesa nitamwiba .. ujue me natongoza huwa siogopi
Lol vibaya hivooo shogaa
Namchungaaa
Namganda kila kona
Simpi hata upenyoo
Akilala ninae akiamka ninae bafuni ninae sebuleni ninae akiinama ninae akichuchumaa ninae juu ninae chini ninae chumbani ninaee
Yani hapumuiii
 
[QUOTE="Kaboom, post: 20418022, member: 59]Halafu unakuta uliyemuimbia hivyo ikifika zamu yake anamuimbia mtu mwingine..Unabaki unaduwaa tu
Hahaha lol
Kumbe nawewe uliimba???
Safi sana
Akimuimbia mwingine unapingua anakua sio rafiki yako hata ukinunua kitu haumpi nakwanza haumuongeleshi[/QUOTE]
Mi sijaimba sana..Zangu Kombolela na Kibaba baba
 
Back
Top Bottom