Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Mkuu ilikuwaje ukazidiwa au we ndo ulizingua maana nao jamaa anasiwifiwa mpaka anaijionea wivu mwenyeweAaaaa ngoma ya watoto haikesho'i.. Hao hata wiki hawatamaliza.. Demu chenga sana huyo
Hahaaa mkuu njoo bwana kule upate marafiki wa kubadilishana mawazoHata mi sielewi mkuu ila nitajitahidi nifike ila huwa nafika kupitia pitia baadhi ya mambo
Mkuu huwa napitia comment zao nyingi ila nitajitahidi nifike wala usijali mkuuHahaaa mkuu njoo bwana kule upate marafiki wa kubadilishana mawazo
WELCOME BRO.Mkuu huwa napitia comment zao nyingi ila nitajitahidi nifike wala usijali mkuu
Smart 911Nani huyo????
Asante mkuuWELCOME BRO.
Alikua
anapenda kiukweli kweli lol
Sawa we penda tu maana kipenda roho hula nyama mbichiHujakosea mkuu nikweli nampenda Smart911 mpaka sijielewi..
Hivi huko makapuku kuna nini naomba nieleweshwe??Mkuu huwa napitia comment zao nyingi ila nitajitahidi nifike wala usijali mkuu
Nadhani swali lako aje mondray aje akujibu maana mi mwenyewe na karibishwa na wengiHivi huko makapuku kuna nini naomba nieleweshwe??
Mi nilipita hata sijaelewa kwakweli
Namimi kuna mwingine alinishauri niende huko nikapita sikuelewa
Ndio hako hako ka tom boy
Nikiangalia natamani niwe malaika,Yani Wee acha kabisa..
Duhhhhhhhhhhh hao wapo wengiiii mpaka raha
Aaa !! HuweZi kumpata kihivyo..Kumbe unamfahamu
kumbe unaweza kuwa ndugu yangu ila yule mwanamke mzuri aisehhh. nilisomaga pale PCM ila nilikuwa namezea mate kama sim tank lilijaa mate.
chenga zange nini embu nipe mwanga. nime m pm ila naona kani block
We king julieth vipi wewe, moris yuko wapi? Na wale penguin nimewasahau majina yao dah!Hata mimi nakapenda sana haka katoto kanaitwa mahondaw