kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Wanajamii forum wenzanguu uvumilivuu umenishinda mimi na nikiendelea kukakaa ntaumizaa moyoo mwishoo ntaumiaa.Kama upo humuu ndanii Julieth ni PM nakuomba mimi ni kijana wa kiume mpole ,gentleman na mcha Mungu.Sikia kilio changuu na pia kama humu ndani kuna ambaye yupo anamfahamu nakuomba unifikishie ujumbe wanguuu au uni PM
Ahsanteni sana
Ahsanteni sana