Ni bora tukasema kabla hawajafa,maana kuna watu wana upendo wa kinafiki baada ya mtu kufa ndio wanaanza kutirirka sifa zao...
ni kweli mkuu, kabla na sisi hatujafanya piaNi bora tukasema kabla hawajafa,maana kuna watu wana upendo wa kinafiki baada ya mtu kufa ndio wanaanza kutirirka sifa zao...
jamani, Archduke, unajua nakupenda right? Na sitachoka kukwambia nakupenda, yan hata maneno mengine ya kusema naona yameniisha Mungu akupe umri mrefu nizidi kufurahia uwepo wako maishani mwangu, i love you more
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shostiiiWera wera weraaaaa....bestito shoga wa mie mumu kuja pande hii, ushazimikiwa huku
Kaka nimeonaa[emoji23]Ni haki na uhuru wako kabisa mkuu kutoa hisia zako kwa aliyegusa moyo wako ilimradi hujatukana wala kukejeli maana hujui kama ni mke/mchumba wa mtu, hivyo mhusika dada yangu kipenzi mumu atayaona tu maoni yako kuwa na subira
Wifi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56][emoji23] [emoji23]
[emoji2] [emoji2] kama umeona ni vyema sasa, kaka mtu nakaa kandoKaka nimeonaa[emoji23]
Usikae kando sana kaka jamanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji2] [emoji2] kama umeona ni vyema sasa, kaka mtu nakaa kando