Nampenda Nampendaa Nanii Nampendaaa!

Nampenda Nampendaa Nanii Nampendaaa!

Simba Mkali

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2012
Posts
620
Reaction score
239
Ulikuwa kama mchezo mnakusanyika watoto wa kike na kiume na mnaanza kuimba, akianza mwanamke anamachagua mwanaume na akianza mwanaume anamchagua mwanamke, wengine tulikuwa tunautumia kwa kumaanisha kile tulichokuwa tukikipenda kweli, ulikuwa ni kichocheo cha kuanza kutongoza na kufanya kweli. ole wake umchague mwanamke baadaye ikifika zamu yake asikuchague. Nani anakumbuka?
 
Ulikuwa kama mchezo mnakusanyika watoto wa kike na kiume na mnaanza kuimba, akianza mwanamke anamachagua mwanaume na akianza mwanaume anamchagua mwanamke, wengine tulikuwa tunautumia kwa kumaanisha kile tulichokuwa tukikipenda kweli, ulikuwa ni kichocheo cha kuanza kutongoza na kufanya kweli. ole wake umchague mwanamke baadaye ikifika zamu yake asikuchague. Nani anakumbuka?
Hahaha naikumbuka sana hio style ilikuwa ikitwa kio kiooo :bounce:
 
Umenikumbusha mbali mkulu! Kioo kioo alikiona nani, sijui sijui ...
 
alikivunja nani sijui sijui waongo nyie woote piteni piteni, mwa mwisho akamatwe.

Mbona sio huu wimbo?
 
Duh!umenikumbusha mtoto happy enzi hzo,alikua ananipendaje!!
 
alikivunja nani sijui sijui waongo nyie woote piteni piteni, mwa mwisho akamatwe.

Mbona sio huu wimbo?
Kongosho ndo ilikuwa same group, mnanza kuimba kwanza kio kioo, afu waksiha kukamata ndo we ulio kama unanza kuiba tena nimpende nani au nimchague nani, kama sijakosea vile unajua siku nyingi sana aisay.
 
ha ha ha......., kamchezo kalikuwa poa sana. tena mida ya jion ka giza kanaanza. ulomchagua hachomoki cku hyo...............
 
Back
Top Bottom