Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 134
Kuna kabnt ka1 nimetokea kukapenda..!, but nilipomweleza akanitolea nje.! Na kusema eti kana mchumba tayari, jmn wana jamvi naomben msaada wenu nimwambie vp? Ili anielewe huyu dent maana sihemi, cmung'unyi na hema 2 nusu nusu kwake nimeoza, msaada plz.( cc wote ni madent wa kidato cha 3).
Soma Dogo wzuri wapo wengi, achana na ngono zembe.Kuna kabnt ka1 nimetokea kukapenda..!, but nilipomweleza akanitolea nje.! Na kusema eti kana mchumba tayari, jmn wana jamvi naomben msaada wenu nimwambie vp? Ili anielewe huyu dent maana sihemi, cmung'unyi na hema 2 nusu nusu kwake nimeoza, msaada plz.( cc wote ni madent wa kidato cha 3).
wewe mtoto wa shule. kwanza unataka kuikosea heshima shule.. mapenzi na shule ni sumu..
sasa sikia kijana. jitahidi sana kumchukia hadi uwe hutaki kumuona. hii ni nafasi ya kipekee umeipata.
kumbuka kuwa wengi walioingia kwenye mapenzi wakiwa na umri mdogo wamepoteza yote. kila jambo lina muda wake.
ushauri wangu kwako ni kukuonya. tena nakukataza kuanzia leo, ukome kumsumbua mwanangu. na usipo koma nita kupa adhabu kali.
waharibifu wakubwa nyie. mimi nalipa ada ili msome kumbe mnakuja huku tena mnatuomba tukufundisheni namna ya kuharibiana masomo.. wewe,, ningekua karibu ningekuweka alama usoni ili kila atakae kuona ajue huna adabu.; acha ujinga wako soma kwanza. fisadi wewe.
Kuna kabnt ka1 nimetokea kukapenda..!, but nilipomweleza akanitolea nje.! Na kusema eti kana mchumba tayari, jmn wana jamvi naomben msaada wenu nimwambie vp? Ili anielewe huyu dent maana sihemi, cmung'unyi na hema 2 nusu nusu kwake nimeoza, msaada plz.( cc wote ni madent wa kidato cha 3).
Mods, hv mbona mnaruhusu hizi posts za ajabu ajabu. Hizi ndiyo zinavunja heshima ya JF.
Huyu anasema wote wapo kidato cha 3.... that to me ingelitosha kuitupa hii ktk dustbin na kumpiga red card nyekundu....
Kuna kabnt ka1 nimetokea kukapenda..!, but nilipomweleza akanitolea nje.! Na kusema eti kana mchumba tayari, jmn wana jamvi naomben msaada wenu nimwambie vp? Ili anielewe huyu dent maana sihemi, cmung'unyi na hema 2 nusu nusu kwake nimeoza, msaada plz.( cc wote ni madent wa kidato cha 3).