Nampenda sana Mahondaw

Ndio hivyo utani mwingine unagonga ikulu.....
Wala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF![emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF![emoji24][emoji24][emoji24]
Gotcha....im joking man! Siko serious mkuu natania tu hamna kitu kama hicho.
 
Aisee huyu mtoto mimi nitahonga mishahara yangu yote kwa mwaka mzima
Iwapo utafukuzwa kazi itakuwaje, Si utamkosa? Ni heri tutatafute kwake hata u-house boy then polepole tunaweza tuka-discuss nae, au unasemaje?
 
Asallam aleykum,
Penye moshi lazima kuna moto.
Maalim unavyolalamika kama mtoto mdogo lazima neema za Allah zimejaa tele.
Inabidi nianze kujiweka karibu ili nihakikishe.

(Habari dada yangu? Nakusabahi Ms.Lincoln
Haha ha!
Huyo babu utamuweza?kanipiga chini saa hizi ananionea wivu
 
Wala sitakaa nitanie tena mtu mkuu,kuna jamaa mwingine nae anatumia ID ya Mondray nae ameachwa baada ya mimi kuingiza utani kwenye penzi lao na manzi fulani wa humu humu JF![emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23] mpaka unatia huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…