[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ndo = ndiyo
Ulikimbia umande eeeh?
[emoji58][emoji58]Hahaaa bora baba kanipeleka mm ng'ombe kuliko ww nyumbu (jokes)
Ubajilengesha= unajilengesha
Msikurupuke kupoost jaman
Uzi wako hauonekani aseeUbajilengesha= unajilengesha
Msikurupuke kupoost jaman
Mtongoze jalibu bahati yako mkuuHabari za leo natumai wote ni wazima.
Mimi ni member mpya humu lakini kuna jambo limenitokea na nikaona ni bora nika share hapa jambo lenyewe ni kuwa tangu nijiunge jamii forum kuna member nimetokea kampenda na kumfurahia sana nae si mwingine bali ni miss chagga nampenda sana
nawasilisha
Dah... miss nimjuavyo wala msitoane ngeu.... Mjipime kwa ukubwa masalio yenu[emoji12] [emoji12]
Ni punga huyoMkuu ni Bora hata Umetoa la Moyoni, LA MOYONI HUITESA NAFSI.
Ila hujasema Ni upendo Upi
Akikujibu nishtueAlafu acheni kutuona mazuga humu ndani.... Jana tu umekuja na thread yako ukidai unampenda mume wa mtu, leo yamekuwa ya Miss Chagga aka Kungwi.....
Kama wewe ni me, kuwa Me kweli. Acheni kujidai jinsia ya tofauti kwa malengo yenu. Mtajiumbua tu maana mtasahau uhusika mliojiwekea.
Nampenda mume wa mtu
Kuna watu wana tuchezea akili humuAlafu acheni kutuona mazuga humu ndani.... Jana tu umekuja na thread yako ukidai unampenda mume wa mtu, leo yamekuwa ya Miss Chagga aka Kungwi.....
Kama wewe ni me, kuwa Me kweli. Acheni kujidai jinsia ya tofauti kwa malengo yenu. Mtajiumbua tu maana mtasahau uhusika mliojiwekea.
Nampenda mume wa mtu
me miss chagga nampenda tuu kwa jinsi alivyo haijalish jinsia yanguKuna watu wana tuchezea akili humu