Nampenda sana mpenzi wangu


thanx for the advice
To be frank its realy nice
Now i know exactly wat to do
And this is all because of u
i love this person so much
That another,i wont dare to search
I just wanna be happy
No more i wana act like a puppy
Let me say thanx once again
U have helped to take away my pain.
 
Umekutana naye lini?
Mna muda gani katika uhusiano?
Matarajio yenu je? Anajua unachomwazia?
 
Umekutana naye lini?
Mna muda gani katika uhusiano?
Matarajio yenu je? Anajua unachomwazia?

na miezi nae michache tu,na tuna mpango wa kufunga ndoa tukishakamilisha mambo flani
 

Kumbe nawe umo kwenye haya mambo?
 
kwa haraka haraka mimi naona hivi...

kwamba pengine hajawahi kuwa na kitu kama wewe like huko nyuma katika pita pita za kukuwa na sasa hajiamini kama ana umwezo wa kumili kitu cha level hiyo na ndo hapo panapo kuja wasiwasi pia unatakiwa kumsaidia ili aweze kujiamini kuhusiana na hili.. this is psycological problem a shrink would do better... lolz
 

thanx mkuu,
 
Jaribu kujitegemea! Mbwa ww
 
naona umeshadata kabisa,yaani hujielewi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…