Nampenda sana Shobo wa Niambie ya clouds FM

Nampenda sana Shobo wa Niambie ya clouds FM

vampire_hunter007

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2015
Posts
1,034
Reaction score
2,624
Habari wakuu....
Mimi huyu binti namzimia sana swaga zake....Ana kalafudhi flani hivi katamu...Swaga zake huwa zinanifanya nimvutie picha kama TomBoy flani hivi....

Wazee wa mafaili em nisaidieni nimfahamu vema huyu mrembo....Mwenye picha atakuwa ametisha sana
 
Habari wakuu....
Mimi huyu binti namzimia sana swaga zake....Ana kalafudhi flani hivi katamu...Swaga zake huwa zinanifanya nimvutie picha kama TomBoy flani hivi....

Wazee wa mafaili em nisaidieni nimfahamu vema huyu mrembo....Mwenye picha atakuwa ametisha sana
Basi mororo,kama vipi huyu hapa kwenye link hapa chini!Halafu ni kabinti kadogo kweli
Wafahamu watangazaji wa kipindi cha Niambie:
 
Aaah mm nimempenda yule mtangazaji wa Jamii Forums Television aitwaye Khadija Mzee
mtoto wa kibantu hasa meno yamepangika na anatabasamu la kipwani maashallah
ana rangu ya asili hata mavazi aliyotuvalia kila siku yanapendeza
 

nimempata kumbe siku hizi hawakai ktk desktop
 
Anafaa kwa uigizaji kuliko utangazaji.
 
Habari wakuu....
Mimi huyu binti namzimia sana swaga zake....Ana kalafudhi flani hivi katamu...Swaga zake huwa zinanifanya nimvutie picha kama TomBoy flani hivi....

Wazee wa mafaili em nisaidieni nimfahamu vema huyu mrembo....Mwenye picha atakuwa ametisha sana
Mi mwnyw namkubali kinoma, sema picha zake adim sana.
 
Aaah mm nimempenda yule mtangazaji wa Jamii Forums Television aitwaye Khadija Mzee
mtoto wa kibantu hasa meno yamepangika na anatabasamu la kipwani maashallah
ana rangu ya asili hata mavazi aliyotuvalia kila siku yanapendeza

Nataka nitoe maoni/ushauri kwa Khadija Mzee..Mwenye mawasiliano yake plsssss!!!!
 
Aaah mm nimempenda yule mtangazaji wa Jamii Forums Television aitwaye Khadija Mzee
mtoto wa kibantu hasa meno yamepangika na anatabasamu la kipwani maashallah
ana rangu ya asili hata mavazi aliyotuvalia kila siku yanapendeza


Inaitwa rangi ya kibantu....mtoto anavutia balaaa
 
yupo umu,sema kajibanza sehemu,anawasikia tu,mnavyomjadili,
 
Aaah mm nimempenda yule mtangazaji wa Jamii Forums Television aitwaye Khadija Mzee
mtoto wa kibantu hasa meno yamepangika na anatabasamu la kipwani maashallah
ana rangu ya asili hata mavazi aliyotuvalia kila siku yanapendeza

Yaani ni kama uji kisha umeuwekea jina lako imekwenda mahala pake huyu bi khadija mrembo wa kibantu khaswa.
 
Basi mororo,kama vipi huyu hapa kwenye link hapa chini!Halafu ni kabinti kadogo kweli
Wafahamu watangazaji wa kipindi cha Niambie:

Mbona yupo kawaida hana huo u tomboy au umetumia jicho la tatu kama mshana?
 
Back
Top Bottom