RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,218
- Thread starter
-
- #21
She is a single Woman who wants to mingle. So it's our time brother. Give us a space.Unapata wapi nguvu za kumpenda mke wa mtu ?
Haya mambo ni magumu sana chief, namimi nasubiri muda muafaka Bi Faiza nimkunjulie roho.....[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]..muache akutane na kipande
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sie mabaharia tunakomenti wapi?
View attachment 1200997
Mabaharia wote tulioko hapa mikono[emoji2321][emoji2321]Sie mabaharia tunakomenti wapi?
View attachment 1200997
Uswahilini kuna watu wanatuma hadi mshenga na mahari wanalipa
wakishamvua tu nguo binti ..haao wanasepa inabaki story tu...kama hii thread after one year itabaki story tu
Sie mabaharia tunakomenti wapi?
View attachment 1200997
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona sasa tunachezeana sharubu
Kijana nitakutoa kipapai uvae msuli maisha yako yote.
Mkuu kila mtu ana bahati yake. Huyo mshana atakuwa ni mshamba tu.Unamiliki V8vX? Mshana mwenyewe alitema alitema mzigo pamoja na uchawi wake
KakaNasikia huyo mdada mgumu kupenda uyoo..
Hesabu unajisumbua tu mzee mwenzangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vp una 7800/= cash kama hauna fanya kutafta sio kulia lia wakati PM ipo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Andaa Tsh7800/= na sweta lililoandikwa Tanzania liwe kama zawadi..
It doesn't matter chief. Mbona tunampenda MUNGU ambaye we have never seen and no hope of seeing him.Hivi unamjua hata kwa sura yukoje, ushauri tu!!