Nilimaanisha kuwa ubishi wako utanishawishi nikutafute....halafu baadaye utaamini niliyoyasema.
Kwanza huwezi kunitafuta kwasababu sijapotea, pili nafasi ya kufanya niamini haipo labda ndotoni.
King'asti hata kama ungekuwa ni wewe ungekubaliana tu. Hakuna ubabe uliotumika bali ni compromise ya pande zote mbili. Tena ana-enjoy sana tu.
Dah, we balaa.
Lizi naomba tupinge urafiki.
Kosa kubwa sana umefanya, umemweka home?
Je anajua kama wewe una hizo insecurities? pomba mkeo asijue kama hujiamini siku akijua tu ujue watu wanaanza kukusaidia wanakula tunda lako hivi hivi utakuja kulia lia hapa MMU
Haya baba, siku unataka mke wa pili unistue nikuelekeze kwa mzazi wangu ukamalizane nae kabisaa nije mie kuangalia tv nyumbani kwako. Dstv unalipia premium eeh?
hongera mkuu kuna raha yake kurudi home na kukuta wife anakusubiri.
SITAKI kwa herufi kubwa!!
Sio vizuri hivyo lizi
Alikuwa na kazi yake nzuri.
Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu.
Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna majamaa kibao. Sikuwa na imani.
Nimemwachisha kazi sasa amepumzika nyumbani, nikirudi namkuta. Ndio furaha yangu.
"Sio vizuri hivyo Lizzy"....
we kweli bado unamambo ya kizamani, hebu jiamini wanaume kama nyie msiojiamini ndo huwa mnapigiwa kazi zenu, sasa subiri watu watakupigia hapohapo kwako ndo utaona kwamba huwezi mchunga mwanamke...acha mambo ya kizamani
yah. unanichukia sana
Safi sana mjomba kwani kwako ni wapi nije nikupongeze
Nakuchukia kwa lipi?
unanipiga drai mno. nionee huruma mwenzio
Sina huruma. . .tulishagombana zamani.