Mkuu hayo mapenzi yako ya mshumaa maana unampenda mtu usiyemjali,kwann hukumuokoa na kitanzi?je angekuwa kanyongwa ina maana hata usingejua,Anyway mfuate huko BAN-NI ukamtoe km kweli unampendaShunie mke wangu nakupenda shunie wa jf nakuuliza umezaa?
Njoo najua kukufanya ujisikie mwanamke shunie
Mkuu shunie kala ban sa ngapi mchana alikuwepoMkuu hayo mapenzi yako ya mshumaa maana unampenda mtu usiyemjali,kwann hukumuokoa na kitanzi?je angekuwa kanyongwa ina maana hata usingejua,Anyway mfuate huko BAN-NI ukamtoe km kweli unampenda
Ana I'd nyingine alitaka aji cc na ile nyingine lakini ndo kajisahau kulog off.Kuna mtu kaji-cc sijui tumueleweje
Kuna mtu kaji-cc sijui tumueleweje
ShemejiKumpenda tu ushamwita mke na usipokubaliwa
cc. Nelson nely
πππ Labda ndie shuni mwenyewe...Kuna mtu kaji-cc sijui tumueleweje
MamboShemeji