Nampenda Wema Sepetu

Ila jamani mtt mtamu huyu waswahili wanasema k haina makombo.
 
Wewe sema unataka umaarufu tu tena utokee gazetini.
 
hapana mkuu,,,hilo sio lengo langu

Ok. Ukifika Dar ukishuka (kama unatumia basi lakini sitarajii kama unamfuata Wema uende kwa basi unatakiwa uende na mkoko kumzidi yeye) Ubungo nenda mpaka Mwenge then fuata barabara ya Morocco. Ukifika Makumbusho turn kulia sogea umbali kama mita 400 au 300 hivi. Uliza kwa Wema Sepetu utapelekwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…