Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Kuendesha serikali si mchezo.Awamu hii watu wanateuliwa kwa misingi ya uchama! Vyeo ambavyo vilistahili kupewa watu ambao wamefanya vizuri katika idara mbalimbali za serikali, wanazawadiwa makada wa chama.
Huu utaratibu wa kuirudisha Nchi miaka ya 1970's, 1980's, haukubaliki hata kidogo.
Serikali hii inaendeshwa Chato, wengine ni makarani tu.Kuendesha serikali si mchezo.
Bashiru atapata shida kuelewa procedures, checks and balances katika kudhibiti utendaji wa technocrats.
Aweke mwenye experince na mwenye kufuata taratibu za kiutumishi na serekali ili AHOJIWE KILA ANALOFANYA?Awamu hii watu wanateuliwa kwa misingi ya uchama! Vyeo ambavyo vilistahili kupewa watu ambao wamefanya vizuri katika idara mbalimbali za serikali, wanazawadiwa makada wa chama.
Huu utaratibu wa kuirudisha Nchi miaka ya 1970's, 1980's, haukubaliki hata kidogo.
Angepewa mmoja kati ya very senior long serving Pemanent Secretaries, ingalau confidence ingekuwepo.Mlitaka apewe nani ili muache maneno ya kwamba fulani hafai au hatoshi kwenye nafasi hii?
Vipi kama JPM kawaona hawatoshi au kuendana na mfumo wake kulingana na mahitaji yake?Angepewa mmoja kati ya very senior long serving Pemanent Secretaries, ingalau confidence ingekuwepo.
Mlitaka apewe nani ili muache maneno ya kwamba fulani hafai au hatoshi kwenye nafasi hii?
Tulishasema kitambo kuwa ccm wanaturudisha kwenye zama za ujimaAwamu hii watu wanateuliwa kwa misingi ya uchama! Vyeo ambavyo vilistahili kupewa watu ambao wamefanya vizuri katika idara mbalimbali za serikali, wanazawadiwa makada wa chama.
Huu utaratibu wa kuirudisha Nchi miaka ya 1970's, 1980's, haukubaliki hata kidogo.
Wewe tulisha kudharau tangu kipindi kile unahudumia corner bar.Kuna mwingine makini zaidi anakuja CCM, yaweza kuwa wewe au yeyote.
Angepewa mmoja kati ya very senior long serving Pemanent Secretaries, ingalau confidence ingekuwepo.
Bashir pale atakuwa ni sawa na robot tuSerikali hii inaendeshwa Chato, wengine ni makarani tu.
Alivyokuwa katibu mkuu wa ccm ndivyo hivyo atafanya akiwa ikulu, nchi ni ya chama kimoja shida iko wapi?