Nampongeza Joseph Kusaga kwa kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chadema

Nampongeza Joseph Kusaga kwa kuhudhuria Mkutano Mkuu wa Chadema

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Nimekutana na Joseph Kusaga kwenye Kolido za Ukumbi wa Mlimani City hadi nimeshangaa

Katika Nchi ya kutekana na kubambikiwa kodi kama hii inawezekanaje Mfanyabiashara kama huyu kujitokeza kwenye Mkutano wa CHADEMA?

Screenshot_2025-01-21-15-05-45-1.png


Nafahamu kwamba amepewa mwaliko , lakini Mwaliko kama huo wamepewa wengi mno ila wameogopa hata kujibu tu kwamba hawatakuja.

Hongera sana Kusaga
 
Nimekutana na Joseph Kusaga kwenye Kolido za Ukumbi wa Mlimani City hadi nimeshangaa

Katika Nchi ya kutekana na kubambikiwa kodi kama hii inawezekanaje Mfanyabiashara kama huyu kujitokeza kwenye Mkutano wa CHADEMA?

View attachment 3208858

Nafahamu kwamba amepewa mwaliko , lakini Mwaliko kama huo wamepewa wengi mno ila wameogopa hata kujibu tu kwamba hawatakuja.

Hongera sana Kusaga
kwani zoezi la upigaji kura litaanza muda gani hasa?tunaona kama kuna dalili zote kabisa za kura kuweza kuibiwa ili kuhujumu ushindi wa tundu lisu.
kwa Nini mpaka sasa zoezi la upigaji kura bado halijaanza? Sasa hivi ni saa 10: 04 jioni lakini upigaji kura bado halijaanza!!?
 
Bado hawajaomba kura, tusubiri kwanza tuwasikilize tutaamua
Sasa sera za TAL si zinajulikana FAM yeye ni kutoa speech ya utulivu tangu 2005 namwona anagombea urais zile speech zake ni zile zile,ukisema speech za kuwajaza wajumbe FAM ukimpa Mic anajua kuhubiri.
 
Back
Top Bottom