Nampongeza Rihanna, umaarufu kauacha Marekani kaja Afrika kusaidia

Nampongeza Rihanna, umaarufu kauacha Marekani kaja Afrika kusaidia

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Picha zote tatu3 ni Rihanna akiwa nchini malawi mwezi uliopita,
Hakujali umarufu wake wala uzuri alio nao, alichofanya ni kuyakabiri majukumu ya muda huo kulingana na mazingira,
Alibeba ndoo kichwani, akasukuma toroli,
Hii ni katika kusaidia kujenga kituo cha afya nchini malawi

Ni mfano wa kuigwa kwa wadada wa siku hizi

FB_IMG_1537857754737.jpg
FB_IMG_1537857752425.jpg
FB_IMG_1537857750145.jpg
 
ni jambo jema kujitoa kwa ajili ya kusaidia wengine
 
Imesaidia nini hiyo?
Imemsaidia yeye mwenyewe kwa kumuongezea umaarufu.

Ni sawa na wale wenye chama chao wanapoamua kula ugali maharage na wapiga kura ili kuwahadaa waone wao ni wamoja.
Case hii na ya Rihana tofauti kwamba Rihana sio mwanasiasa
Hapa ni kodi inakwepa!
Watu wenye pesa kila kitu ni pesa walahi
IRS imekula kwao walahi!
 
Huyu dada ana mkakati kabambe kwa hii nchi mbele ya safari.
 
Atakuwa na hisa naye huko Malawi kama Wachina.
 
Imesaidia nini hiyo?
Imemsaidia yeye mwenyewe kwa kumuongezea umaarufu.

Ni sawa na wale wenye chama chao wanapoamua kula ugali maharage na wapiga kura ili kuwahadaa waone wao ni wamoja.
Case hii na ya Rihana tofauti kwamba Rihana sio mwanasiasa
Katumia sehemu ya fedha zake kusaidia jamii zenye shida, huo sio msaada?

And she is not doing that for the fame..
 
Back
Top Bottom