britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Picha zote tatu3 ni Rihanna akiwa nchini malawi mwezi uliopita,
Hakujali umarufu wake wala uzuri alio nao, alichofanya ni kuyakabiri majukumu ya muda huo kulingana na mazingira,
Alibeba ndoo kichwani, akasukuma toroli,
Hii ni katika kusaidia kujenga kituo cha afya nchini malawi
Ni mfano wa kuigwa kwa wadada wa siku hizi
Hakujali umarufu wake wala uzuri alio nao, alichofanya ni kuyakabiri majukumu ya muda huo kulingana na mazingira,
Alibeba ndoo kichwani, akasukuma toroli,
Hii ni katika kusaidia kujenga kituo cha afya nchini malawi
Ni mfano wa kuigwa kwa wadada wa siku hizi