Namrudisha Mke wangu kwao


Nahisi kama MUNGU wako ni tofauti na wengine au na mkeo. Ulimuoa kwa ndoa au alijiuza kwako? Una unafananaje na avator yako? Huyo shangazi yako ana sura nzuri sana mpaka amwite mkeo bundi.

Wewe na shangazio kama hambadilishi hayo maneno yenu ya kifedhuri, nakuapia utakuja humu na neno la kumtafuta mkeo na hutamuona wenye sura za bundi watakuwa wamemchukua hapa ndiyo ukurasa wa maisha yako utakuwa umefunguka ki umaskini.

Usicheze na MUNGU wewe.
 
Ongea nae kwanza. Maybe anampenzi wake na yeye, anakuja kulala wewe ukiwa haupo. Sasa ukimpeleka kwa wazazi utakua umemkosea sababu hawataweza kuonana kwa muda (she will have to pretend kwanza kabla hajam-introduce). kwa hiyo we ongea nae tu, kama vipi umpeleke kwa boyfriend wake...
 
hongera sana kwa uamuzi huo mkuu. mwanaume lazima uwe na roho ya kaba, na ktk hili umeonyesha uanaume wako. wasiwasi wangu ni huyo uliyemfulia chupi ataishia kukukamata jumla jumla!
 

kwenye rangi hapo siilikuwa jana tu mmeshauriwa au wewe haikuhusu..:target:
 
Wazee wa nyumba ndogo haoooo na mada zao.na log off
 
hongera sana kwa uamuzi huo mkuu. mwanaume lazima uwe na roho ya kaba, na ktk hili umeonyesha uanaume wako. wasiwasi wangu ni huyo uliyemfulia chupi ataishia kukukamata jumla jumla!
Usihofu mkuu ujue huyu ninakaa naye nyumba,nikisema niombe mzigo atakuja kunisumbua siku za usoni,kwahiyo huyu bi dada sintomgusa. Nalog off
 
Kweli kua uyaone! Si mchezo. Mambo ya Rais wa watu wasafi haya....yanatupa changamoto kwelikweli
 
kwani mkeo amekuambia kwmba anachukizwa na tabia zako.. kama kashazoea hiyo taabu ... kwanin umrudishe?
hajaniambia kama anachukizwa ila mie naona bora nimrudishe tu wajanja wasiwe wanamega kisela.Nalog off
 
kwani hao mabinti unaopiga nje naniliuu zao zina Gold...?? fafanua wapata nin nje ambacho mkeo hana
aisee ni vingi mno,ila kwa imani ya dini yangu sitakiwi kumfanyia hivyo mke wangu wa ndoa.Nalog off
 
mie nimeliwaza sana hilo suala na ndio maana nimeona bora nimtie chaka tu,maana isiwe small hausi anajimegea kisela,kwahiyo kama wanapendana basi wataoana mie siwezi kuubeba msalaba wa wengine.Nalog off
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…