Chanuo kampa nanii chanuo kampa nanii. . . Kampa msusii kampa msusii. . . Kigoda kampa nanii kigoda kampa naniii. . .kampa msusiii kampa msusii....saka mke wangu saka mke wangu....hapa hayupo hapa hayupo....kenda wapi kenda wapi....kenda kusuka kenda kusuka
huu mti gani?.. Wa mchongoma, nikiukata.?...haukatiki, hata kwa shoka?.....haukatiki, hata kwa panga?....
...Upige na kanga utaona unaanguka kirahisi kabisa lol!
huh.... nalo neno.Kanga siku hizi haziangushi miti, labda ajaribu ka-gx 110 ka rangi ya cream au keusi...
Kanga siku hizi haziangushi miti, labda ajaribu ka-gx 110 ka rangi ya cream au keusi...
Mkuu DUBAI?namsaka mke wangu,yupo kwe hisia zangu.napata picha tu,kua ni mwepe,mrefu,na ana miaka 23 na hunijia kipicha ila sipati picha eeee,jamani popote alipo anipigie na hii mana mwaka mpya ndo huu sijapata picha.unayesoma kama huna picha usilazimishe picha mana hutapata picha.mke wangu nitafute naomba usikae kimya ma hutapata picha 0712336687