Namsaka mke wangu,

...saka mke wangu saka mke wangu....hapa hayupo hapa hayupo....kenda wapi kenda wapi....kenda kusuka kenda kusuka
Chanuo kampa nanii chanuo kampa nanii. . . Kampa msusii kampa msusii. . . Kigoda kampa nanii kigoda kampa naniii. . .kampa msusiii kampa msusii.
 
huu mti gani?.. Wa mchongoma, nikiukata.?...haukatiki, hata kwa shoka?.....haukatiki, hata kwa panga?....

...Upige na kanga utaona unaanguka kirahisi kabisa lol!
 
Kanga siku hizi haziangushi miti, labda ajaribu ka-gx 110 ka rangi ya cream au keusi...

hahahahaha! Ndio maana nimeoza kwa son wako. Mti ulishakatwa muda mrefu. Lol.
BAK umeisoma hii ya mkwe?
 
Mkuu DUBAI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…