Namshangaa sana mtu anayekwenda Hospital kupima vitu hivi

eti hupimi kwa sababu hakuna tiba
eti DNA ya nini
Maneno ya mkosaji hayo
Lakini hapo kwenye jisnia ya mtoto.... Mhhhhh. hapo naona uko sahihi kabisa. hata Mungu hapendi
Nimemshangaa mtoa post.. labda yamemkuta anajifariji ki style
 
Na utashangaa sana! ndio maana mnaibiwa mchanga as if mlikua hamjui wakati mlikua mnasaini mikataba japo mliambiwa lakini mkajidai hamuelewi, alafu sasa ivi mnajidai mnauchungu na nchi mbaaaafu!
Jamaa punguza hasira
 
Yaani ni bora uendelee kukaa home ukasoma novel tu uwaachie wenye uwezo wakapime
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…