Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,191
- 677
kwa kua naamini bila ya shaka yeyote ile kua zimebaki siku chache dr slaa kujuta kwa kuacha kugombea ubunge na kuona jinsi gani wenziwe walivyomuuza
ningelimuomba mheshimiwa Rais JK katika kipindi chake cha pili, ktk zile nafasi zake kumi amteue ndugu yetu Dr slaa kurejea bungeni ili azidi kutuburudisha naomba hili nikithamini baadhi ya michango yake na kwa kujua kuwa Rais wetu mpendwa una upendo na wapinzani na ni njia ya kuwalea kama ilivyo kwenye ilani yetu kutoa fursa zaidi kwenye demokrasia
kama ulivyomchagua Mheshimiwa sanya naomba mara hii umpatie huyu jamaa pia ili asiadhirike maana atakua hana la kufanya na amepora mke wa mtu na amtelekeza familia yake
ningelimuomba mheshimiwa Rais JK katika kipindi chake cha pili, ktk zile nafasi zake kumi amteue ndugu yetu Dr slaa kurejea bungeni ili azidi kutuburudisha naomba hili nikithamini baadhi ya michango yake na kwa kujua kuwa Rais wetu mpendwa una upendo na wapinzani na ni njia ya kuwalea kama ilivyo kwenye ilani yetu kutoa fursa zaidi kwenye demokrasia
kama ulivyomchagua Mheshimiwa sanya naomba mara hii umpatie huyu jamaa pia ili asiadhirike maana atakua hana la kufanya na amepora mke wa mtu na amtelekeza familia yake