Mimi ni shabiki wa timu ya simba Kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wadau mbalimbali wakitaka kocha wa simbs amtumie Kagere badala ya Mugalu Ila wengi wanaendeshwa na mihemko. Naomba niwalinganishe watu wawili kagere Na Mugalu.
Kagere udhaifu
1. Kwanza hajui Kukaba
2. hajui kujiposition
3. hajui kupora Mipira
4. anawafanya mabeki kurelux
5. hatishi
ubora wa Kagere
1. mwepesi kufunga pale anapopata mpira.
udhaifu wa Mugalu
1. kukosa magoli ya wazi
ubora wa Mugalu
1. anajua kujiposition
2. Anajua kukaba
3. anajua kukaba
4. mabeki hawana nafasi ya kurelux kwa huyu mwamba
5. anatisha akiwa hana mpira na akiwa na mpira
6. uwezo wa kumtumia kama mshambuliaji mmoja anafa sana kwa mfumo huo
zingatia
Kazi ya mshambuliaji ni kushinda ila soka limebadilika sasa kazi ya mshambuliaji ni kusaidia timu yake kushinda hivyo ndicho Mugalu anakifanya kwa kuhold mpira wenzake wasogee na wakishasogea anawapa mpira anakimbilia kwenye nafasi wakati huo ameshagongwa gongo viatu vya kutosha anakuja kupata mpira ameshachoka matokeo yake yanatokea mnayolalamikia. sasa hapa kocha anaweza kufanya mabadiliko kwa kumwelimisha tu mugalu kwamba ukipata mpira angalia mtu aliyepo karibu umpe tufunge basi.
Kumbuka
timu ya france ilichukua kombe la dunia kwa mshambuliaji wake jirudi kutokufunga goli hata moja lakini match zote alichezeshwa japo watu walikuwa wanapiga kelele sana hivyo kocha wetu anamwona Mugalu yuko sawa kwa maana kuna kuna kitu anampatia tofauti na kagere
Kagere udhaifu
1. Kwanza hajui Kukaba
2. hajui kujiposition
3. hajui kupora Mipira
4. anawafanya mabeki kurelux
5. hatishi
ubora wa Kagere
1. mwepesi kufunga pale anapopata mpira.
udhaifu wa Mugalu
1. kukosa magoli ya wazi
ubora wa Mugalu
1. anajua kujiposition
2. Anajua kukaba
3. anajua kukaba
4. mabeki hawana nafasi ya kurelux kwa huyu mwamba
5. anatisha akiwa hana mpira na akiwa na mpira
6. uwezo wa kumtumia kama mshambuliaji mmoja anafa sana kwa mfumo huo
zingatia
Kazi ya mshambuliaji ni kushinda ila soka limebadilika sasa kazi ya mshambuliaji ni kusaidia timu yake kushinda hivyo ndicho Mugalu anakifanya kwa kuhold mpira wenzake wasogee na wakishasogea anawapa mpira anakimbilia kwenye nafasi wakati huo ameshagongwa gongo viatu vya kutosha anakuja kupata mpira ameshachoka matokeo yake yanatokea mnayolalamikia. sasa hapa kocha anaweza kufanya mabadiliko kwa kumwelimisha tu mugalu kwamba ukipata mpira angalia mtu aliyepo karibu umpe tufunge basi.
Kumbuka
timu ya france ilichukua kombe la dunia kwa mshambuliaji wake jirudi kutokufunga goli hata moja lakini match zote alichezeshwa japo watu walikuwa wanapiga kelele sana hivyo kocha wetu anamwona Mugalu yuko sawa kwa maana kuna kuna kitu anampatia tofauti na kagere