Hivi dogo kwenu hakuna aliyewahi kufa?
Weka ushahid, au unadhan kifo ni adhabu?M/Mungu alishamuhukumu kubwa la Roho mbaya,Asad Hana Tena sababu ya kwenda MAHAKAMANI, aliyemfanyia ubaya tayari kashaingia kwenye kumi na nane za Mfalme wa Falme, saizi anachezea punishment mwanzo mwisho
Kamwe hawez kukujib mpaka mwisho wa dunia 😂😂😂Kumbe hata Hamza alikuwa mwana cdm
Matumizi Mabaya ya NENO Ugaidi ni Mwehu tu ndio anaweza kusema hivyoLegacy ya chadema ni kulipakazia ugaidi taifa
Kulipakazia Ugaidi?Legacy ya chadema ni kulipakazia ugaidi taifa
Ivi haiwezekani kuchukua lile jiwe kubwa linalocheza kule mwanza tuliweke juu ya kaburi lake ili hata ikitokea siku kapata fahamu basi ashindwe kutokaM/Mungu alishamuhukumu kubwa la Roho mbaya,Asad Hana Tena sababu ya kwenda MAHAKAMANI, aliyemfanyia ubaya tayari kashaingia kwenye kumi na nane za Mfalme wa Falme, saizi anachezea punishment mwanzo mwisho
Leo hii mzee wa mamvi amemaua kukaa kimya tangu alivyo lazimishwa kuhama kutoka cdm.Nchi hii ukiwa mkweli kabisa kabisa existence yako itakuwa kwenye mashaka makubwa!! wengi wanaamua kubakia kimya tu...siku ziende. Ila ki ukweli wapo wengi sana wameumizwa na hawana option nyingine zaidi ya kubakia kimya hadi kaburini.
Unless uchimbe shimo then uongeee yote then ulifukie - kama ile hadithi ya Mfalme mwenye masikio marefu.
Alafu hao watakao piga K-vant watakamatwa na kufunguliwa kesi au wataachwa kisa wanatumia uhuru wao?Usitangulize sana hisia zako utakufuru ndugu yangu ,kwa mfano una mzazi wako mmoja kafariki leo itakua kahukumiwa nae au kuna kitu atakua amekosea? Kitu unachotakiwa kujifunza muda huu ni kwamba hakuna mkamilifu ila tunatofautiana kiwango cha ukosefu ,leo hii hata uanguke wewe wapo watakaolia na wapo watakaoshindia k vant kwa raha mpaka asubuhi tafakari
Mkuu wa malaika huyo haguswiIvi haiwezekani kuchukua lile jiwe kubwa linalocheza kule mwanza tuliweke juu ya kaburi lake ili hata ikitokea siku kapata fahamu basi ashindwe kutoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufa wakati mwingine sio adhabu kama mtu mwenyewe alijawa na kujiamini kuliko maelezo. Alipokuwa waziri alikwenda Ulaya kutibiwa mara tano.M/Mungu alishamuhukumu kubwa la Roho mbaya,Asad Hana Tena sababu ya kwenda MAHAKAMANI, aliyemfanyia ubaya tayari kashaingia kwenye kumi na nane za Mfalme wa Falme, saizi anachezea punishment mwanzo mwisho
Nani anapakazia ugaidi kati ya chadema na POLICCM aka PGOLegacy ya chadema ni kulipakazia ugaidi taifa
Msimsahau RugemalilaProfessa Jaffari Assad karibu Chadema wewe ni mtu mwema mwenye hofu ya Mungu.
Damu za watu mbayaKufa wakati mwingine sio adhabu kama mtu mwenyewe alijawa na kujiamini kuliko maelezo. Alipokuwa waziri alikwenda Ulaya kutibiwa mara tano.
Alipoingia ikulu akashindwa tena kwenda akiwa keshawaonyesha ujeuri mwingi wazungu kwa maamuzi yake yenye misimamo, angetaka angeweza kupanda ndege na kwenda kutibiwa Ulaya. Kwa ujeuri wake wa kutaka sekta ya afya hapa hapa nchini imtibu ndio akakutana na kifo chake.
Msipende kukiongelea kifo cha mtu bila ya kujua sababu haswa zilizopelekea kikatokea.
Inaonyesha wazi hujaisoma katiba ya sasaHiyo namba tatu unaipima vipi? Unajuaje kama alikuwa maadili ya mteuzi wake. Ndiyo maana tunahitaji katiba mpya inayofafanua vitu na siyo ya sasa inayoweka vitu in blankets.