Namshauri Rais Samia amteue Mzee Warioba na kumtengua Mzee Wassira maana anaendana zaidi na 4R zake

Namshauri Rais Samia amteue Mzee Warioba na kumtengua Mzee Wassira maana anaendana zaidi na 4R zake

JokaKuu

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2006
Posts
34,188
Reaction score
62,952
Kama Mama ana nia ya dhati kutekeleza 4R basi atafute wasaidizi sahihi watakaofanya naye kazi ktk chama.

Binafsi naona mtu kama Jaji Joseph Warioba angekuwa mtu muhimu sana katika kusimamia maridhiano kati ya CCM na wapinzani.

Kwa upande mwingine sioni mantiki ya uteuzi wa Mzee Wassira kwani hana haiba ya kuunganisha watu, na haaminiki katika suala zima la maridhiano.
 
Kama nakumbuka vizuri kuna tetesi kuwa Jaji hakuitaka hiyo nafasi.

Amandla...
 
Back
Top Bottom