Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Nakumbuka mwaka 1998 kulikuwa na sakata la kuvuja kwa mitihani ya NECTA.
Mitihani ilianza Siku ya Jumatatu kwa kuanza na hesabu sikuwa nazijua kabisa na sikuzipenda.nilijiamini kupita kiasi kwakuwa nilikuwa na majibu toka nje na kila mwanafunzi alipata mitihani ile na ilikuwa yenyewe kweli
Mwalimu wetu wa historia alitusovia maswali kumbe alikosea kusoma na kuelewa maelekezo wote tukaongia chaka.
Nilipofika nyumbani sijasikia taarifa ya habari wazir mafuta mitihani na itarudiwa baada ya muda
Nilifurahi sana na tangi Siku hiyo sikujihusisha tena na wizi wa mitihani
Namshukuru sana mzee kapuya.
Tuliokumbwa na lile janga tukutane hapa kwa uzoefu ndugu zangu
Mitihani ilianza Siku ya Jumatatu kwa kuanza na hesabu sikuwa nazijua kabisa na sikuzipenda.nilijiamini kupita kiasi kwakuwa nilikuwa na majibu toka nje na kila mwanafunzi alipata mitihani ile na ilikuwa yenyewe kweli
Mwalimu wetu wa historia alitusovia maswali kumbe alikosea kusoma na kuelewa maelekezo wote tukaongia chaka.
Nilipofika nyumbani sijasikia taarifa ya habari wazir mafuta mitihani na itarudiwa baada ya muda
Nilifurahi sana na tangi Siku hiyo sikujihusisha tena na wizi wa mitihani
Namshukuru sana mzee kapuya.
Tuliokumbwa na lile janga tukutane hapa kwa uzoefu ndugu zangu