Namsubiri Diamond Platinumz kwenda Clouds 360 au Kuzungumzia hali ya Ruge Wasafi TV

Namsubiri Diamond Platinumz kwenda Clouds 360 au Kuzungumzia hali ya Ruge Wasafi TV

University_Promo

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2018
Posts
749
Reaction score
661
Kama harakati zinavyoendelea uko Clouds TV,
Wanavyofanya mahojiano na Watu maarufu kama,
Majizo
Zamaradi Mketema,
Wanaofuatwa ningependa waende akina Diamond Platnumz(Au D.P akazungumze uko Wasafi TV kwa ajili ya mchango kwa Ruge),Mkuu wa mkoa wa DSM,Ruby,Dudubayatz,Ray C,Lady Jaydee,Sugu.
Na wengineo wengi kwani ugonjwa hakujipangia yeye kama yeye,Maradhi ni Moja ya mitihani kwa wanadamu tumchangie,tujitoe,tusahau visasi kwani ni mtanzania mwenzetu,Binadamu mwenzetu,Pia ni mzazi ana watoto.
Eee Allah tuokoe waja wako,
Wewe ndiyo kimbilio letu,
Tuponye magonjwa yetu.
===========≠=======================
Nawasilisha∞
 
kwenye kitabu cha sugu ameeleza katika historia yake hajawai kukutana na mtu mnyonyaji kama ruge mutahaba,, lady jaydee aliwai sema hajawai kuktana na mtu mwenye roho mbaya kama ruge, ruby nae aliwai kusema... diamond nae kamsema ruge ni mnyonyaji

ila nina imani wote hao wamemsamehe bosi ruge wataenda kuongeza nguvu kwenye harambee
 
Kama harakati zinavyoendelea uko Clouds TV,
Wanavyofanya mahojiano na Watu maarufu kama,
Majizo
Zamaradi Mketema,
Wanaofuatwa ningependa waende akina Diamond Platnumz(Au D.P akazungumze uko Wasafi TV kwa ajili ya mchango kwa Ruge),Mkuu wa mkoa wa DSM,Ruby,Dudubayatz,Ray C,Lady Jaydee,Sugu.
Na wengineo wengi kwani ugonjwa hakujipangia yeye kama yeye,Maradhi ni Moja ya mitihani kwa wanadamu tumchangie,tujitoe,tusahau visasi kwani ni mtanzania mwenzetu,Binadamu mwenzetu,Pia ni mzazi ana watoto.
Eee Allah tuokoe waja wako,
Wewe ndiyo kimbilio letu,
Tuponye magonjwa yetu.
===========≠=======================
Nawasilisha∞

kwakuwa umesema '' ningependa '' basi sio wote wanamawazo sawa na wewe
 
kwenye kitabu cha sugu ameeleza katika historia yake hajawai kukutana na mtu mnyonyaji kama ruge mutahaba,, lady jaydee aliwai sema hajawai kuktana na mtu mwenye roho mbaya kama ruge, ruby nae aliwai kusema... diamond nae kamsema ruge ni mnyonyaji

ila nina imani wote hao wamemsamehe bosi ruge wataenda kuongeza nguvu kwenye harambee
Kwani ruby si bado yupogo hapo na nyimbo zake zinapigwa na promo juuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond na Dudu Baya wanasubiri afe ruge baadae waje kusema wameguswa na msiba...mda ni huu kama hamuwezi kutoa basi ata kuhamasisha uwepo wenu ni muhimu....kwa maisha yake....mondi fanya jambo utajiletea heshma kubwa na mungu atakulipa inshaallah
 
Kama harakati zinavyoendelea uko Clouds TV,
Wanavyofanya mahojiano na Watu maarufu kama,
Majizo
Zamaradi Mketema,
Wanaofuatwa ningependa waende akina Diamond Platnumz(Au D.P akazungumze uko Wasafi TV kwa ajili ya mchango kwa Ruge),Mkuu wa mkoa wa DSM,Ruby,Dudubayatz,Ray C,Lady Jaydee,Sugu.
Na wengineo wengi kwani ugonjwa hakujipangia yeye kama yeye,Maradhi ni Moja ya mitihani kwa wanadamu tumchangie,tujitoe,tusahau visasi kwani ni mtanzania mwenzetu,Binadamu mwenzetu,Pia ni mzazi ana watoto.
Eee Allah tuokoe waja wako,
Wewe ndiyo kimbilio letu,
Tuponye magonjwa yetu.
===========≠=======================
Nawasilisha∞
EIMEEEEN
 
Kama harakati zinavyoendelea uko Clouds TV,
Wanavyofanya mahojiano na Watu maarufu kama,
Majizo
Zamaradi Mketema,
Wanaofuatwa ningependa waende akina Diamond Platnumz(Au D.P akazungumze uko Wasafi TV kwa ajili ya mchango kwa Ruge),Mkuu wa mkoa wa DSM,Ruby,Dudubayatz,Ray C,Lady Jaydee,Sugu.
Na wengineo wengi kwani ugonjwa hakujipangia yeye kama yeye,Maradhi ni Moja ya mitihani kwa wanadamu tumchangie,tujitoe,tusahau visasi kwani ni mtanzania mwenzetu,Binadamu mwenzetu,Pia ni mzazi ana watoto.
Eee Allah tuokoe waja wako,
Wewe ndiyo kimbilio letu,
Tuponye magonjwa yetu.
===========≠=======================
Nawasilisha∞
Jamani ebu wacheni kukuza mambo kwani huyo Ruge ndio wa kwanza kuumwa? kama Diamond ataona yafaa atazungumza kama aifai ata achana nayo lakini sio kwa kelele zenu
 
Kama harakati zinavyoendelea uko Clouds TV,
Wanavyofanya mahojiano na Watu maarufu kama,
Majizo
Zamaradi Mketema,
Wanaofuatwa ningependa waende akina Diamond Platnumz(Au D.P akazungumze uko Wasafi TV kwa ajili ya mchango kwa Ruge),Mkuu wa mkoa wa DSM,Ruby,Dudubayatz,Ray C,Lady Jaydee,Sugu.
Na wengineo wengi kwani ugonjwa hakujipangia yeye kama yeye,Maradhi ni Moja ya mitihani kwa wanadamu tumchangie,tujitoe,tusahau visasi kwani ni mtanzania mwenzetu,Binadamu mwenzetu,Pia ni mzazi ana watoto.
Eee Allah tuokoe waja wako,
Wewe ndiyo kimbilio letu,
Tuponye magonjwa yetu.
===========≠=======================
Nawasilisha∞
kwa kunyonya kote bado anaomba msaada wa matibabu,kweli kabisa.kweli wasanii na wasanii.
siwezi kukuchangia bora walio nyonywa nikawachangia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh
51436320_311021896225024_8048135826093358577_n.jpg
 
Wengine tunasubiri Bakhresa akiumwa tuanzishe Harambe.
 
Back
Top Bottom