ruby aachane na wabishi, konki master atamnyea yeye asubir tu, anataka kuleta kiki zake za vyupi..[emoji57][emoji57][emoji57]Alijirudi akaomba msamaha
Wew ukimsaidia babaaako inatosha ... Apa wameuliza kuhusu mchango wa ruge sio wa babaake domo ...Mbona hawasemi anaumwa nini,,huyo daimond nae aulizwe kwanini hasaidii baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo Nandy anajitafutia stress tu,kuna watu sio wakujibishana nao kabisa..!
Figo mkuu zime-fail,kuhusu mond naskia kashampeleka hospital dingilii but am not real sure.Mbona hawasemi anaumwa nini,,huyo daimond nae aulizwe kwanini hasaidii baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe kunijibu sio lazima acha kiherehereWew ukimsaidia babaaako inatosha ... Apa wameuliza kuhusu mchango wa ruge sio wa babaake domo ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama zimefel si awekewe zingine mbona wanaongeza gharama juu ya gharamaFigo mkuu zime-fail,kuhusu mond naskia kashampeleka hospital dingilii but am not real sure.