Namtafuta Asha Dii.....!!!!!

Namtafuta Asha Dii.....!!!!!

Baba V

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
19,479
Reaction score
9,540
Wanajamvi yu wapi mdau huyu, nimemtafuta sana simuoni,nimezunguka mitaa yote oysterbay,mikocheni,buguruni kwa mnyamani, kwa mtogole, masaki,mji kasoro bahari, singida,Arusha e.t.c, nitafutieni mutu hii, ZAWADI NONO ITATOLEWA
 
Wanajamvi yu wapi mdau huyu, nimemtafuta sana simuoni,nimezunguka mitaa yote oysterbay,mikocheni,buguruni kwa mnyamani, kwa mtogole, masaki,mji kasoro bahari, singida,Arusha e.t.c, nitafutieni mutu hii, ZAWADI NONO ITATOLEWA

ana mimba yenye kichefuchefu na jf..
 
Kweli kapotea sana,si kawaida yake,maybe ana majukumu mengine.Kama ni majamzito basi namtakia kila la kheri.Ila hapo kumpa kichefu chefu na jf?mhn!
 
dah,hata mie cjamtia jichon kitambo! pia madame afrodenzi naye anaonekana kwa kubeep sana. wapi mama ASHA Dii tumekumic niaje. . . plz come back!
 
Last edited by a moderator:
nackia ciku izi ni meneja apa manyara bar...apa jamatini apa iringa...!yuko bize cana cista
 
Mara ya mwisho alipita Arusha akielekea Sehemu inaitwa Ngaramtoni Ya Chini akiwa likizo. Alitujulisha kuwa huko ni kwa Shangazi yake. Taarifa ya ujauzito ni ya ukweli kabisa, maana alikataa kila tulichomwandalia, akaagiza mbilimbi toka kwa wamama wa kiarusha!
 
mbooon nzaaavooooo keeeeeeeiiiii????...

uliiiimsiiiiiimaaaa???
 
Pumbaf zangu na robo! Hahaha habari yako Teamo? Ndio vireee

naaaangshaaaaaaa.....!
haabaariiii aaafoooooo.......!????
endeeeee voooodkaaaaa keeeeeeiiiiii!..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom