Nimedetiwa na wengi ila huyu kiboko, anaitwa Denis James Kizitto. Huyu mkaka tulikutana mara ya kwanza hapo Mlimani City nikiwa kwenye shopping zangu akanitrap nikatrapika tukaanza mambo yetu.
Tulipotezana ka 2year ago akidai anaenda kwao Mbinga, simu yake haipatikana yaani naumia in-short alipo ajitokeze plz, namba yangu ni ileile 071632... mwisho 8.
Naitwa kichwaBOGA mcharuko wa mjini, limbukeni mpaka wanja asoniweza ataweza?