Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakumbuka alikuwepo mmoja anaitwa Mawia ndiye huyo unamwita Mawio au ni mwingine wadau msaada tafadhali?Mara ya mwisho kuwasliana naye ilikuwa April mwaka huu naombeni msaada wenu kama kuna mtu anamfahamu
Ulikuwa unawasiliana naye humu humu JF au nje ya mawasiliano ya JF? Last Seen yake ni 31st March na wewe umesema mara ya mwisho kuwasiliana naye ni April means nje ya JF(kwa namba ya kawaida au FB ,TSAP?Mara ya mwisho kuwasliana na Mawio ilikuwa April mwaka huu naombeni msaada wenu kama kuna mtu anamfahamu
Nipo acha uongo 😂Namtafuta member anaitwa Gifted Girl , mara ya mwisho kuwasiliana nae ni mwezi wa nane mwaka huu
Uongo gani mm mkweli bhn 😂Nipo acha uongo 😂
Ninunulie kwanza bundle myGifted Girl njoo hapa tushinde wote leo hadi bundle liishe
atakuwa saed kubeneaAlikuwa anaandika sana habari za CHADEMA.
Mtandao ganiNinunulie kwanza bundle my
Voda haaf nadaiwa songesha laki moja my😍Mtandao gani
Nakutimia Messenger vocha, songesha shingapiVoda haaf nadaiwa songesha laki moja my😍