Namtafuta kazi

unamtafuta kazi au unatafuta kazi? kama unamtafuta kazi basi towa maelezo zaidi ya taswira yake ili tukimuona tukujulishe :ballchain:
 
nimempata kazi ndugu unayemtafuta,si mweupe mrefu hivi? alafu ana nywele za kiarabu hivi?
 
Mhhhh jamani nilikuwa najaribu kujiunga na JF, yes I can designe a website any website just let me and I will work it for you
 
Mhhhh jamani nilikuwa najaribu kujiunga na JF, yes I can designe a website any website just let me and I will work it for you

Not just any, inabidi ujifunze kutengeneza website nzuri, isiyoumiza macho na yenye mpangilio unaosomeka.
Karibuni tuna mradi wa kutengeneza tovuti ya klabu yetu, itakayokuwa na lugha mbili kwa kuanzia. Take you time to survey football clubs web designs, this could be your chance.
 
bro are you serious? jamaa amesema kazi yeyote ya IT alafu unauliza kama anaweza kutengeneza website au blog? sasa kwani hizo sio kazi za IT?

IT sii ina mambo mengi je kama yeye mtu wa hardware au programmer?
 
IT sii ina mambo mengi je kama yeye mtu wa hardware au programmer?

Labda kiswahili kiwe kimebadilika lakini unaposema kazi yeyote ya IT inafahamika ni aina yeyote ile na iwe software, mildware :eek2: au hardware ni yeyote!!!!
 
Labda kiswahili kiwe kimebadilika lakini unaposema kazi yeyote ya IT inafahamika ni aina yeyote ile na iwe software, mildware :eek2: au hardware ni yeyote!!!!

kazi yoyote! basi huyu atakuwa a jack of all trades but a master of none...dnt think its wise hiring such a person
 

wee mphamvu ebwana wewe watengeneza website ya footbal...onaonaje mwana na mie niingie kwenye hiyo deal niwe na kijisehemu changu kwenye website kinachofanya match analysis ya mechi za ligi ya voda?
 
Mhhhh jamani nilikuwa najaribu kujiunga na JF, yes I can designe a website any website just let me and I will work it for you
Umesoma chuo gani? Una uzoefu wowote? Hebu mwaga CV yako kama kweli upo siriaz!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…