Namtafuta Mama Big

Orait....nitakuletea umpelekee Diana akuchinjie.....
BTW: Diana ndo alikuzuia kufika jj?

Eeeeh na hapa yupo....ananisaidia kunionyesha key za keyboard.....anakupa hi...sasa hivi anacheka.....
 
hahah Askofu alisema ulikuwa unafanyia mazoezi ya.. kwenye kiti cha ofc...............lol sasa kwa Mama Big hutakivunja tu utakiacha hapo hapo mtakapokuwa.

Hivi Askofu kama yule, kuna haja ya kwenda kanisani? Si kupoteza muda tu?
 
Hahaha! Si useme tu ningetengua kiuno kwenye dancing floor lol!Mnamzungusha babu na staili zenu za ujana, mnataka aanguke mbele za watoto?

Babu hivi kiuno chako uwa kinaumia ukiwa unacheza kwenye dance floor na mjukuu kama juzi au huwa ni kisingizio tu
 
Hivi Askofu kama yule, kuna haja ya kwenda kanisani? Si kupoteza muda tu?
Hahahahaaaaaaaaaa......... Mama Big kwani ndo tayari ushawekwa kinyumba? Mbona uji nawe watafutwa huku ka jasho la kuku?

Hebu njoo kuna ntu anataka kuludicha loho kwa kukukocha chamaki nchanga wake!!
 
Babu hivi kiuno chako uwa kinaumia ukiwa unacheza kwenye dance floor na mjukuu kama juzi au huwa ni kisingizio tu

Kamuulize Askofu. Ndio msemaji wa kiuno cha babu ake mwanajamiiOne.
 

Babu nilikuwa naona akimwangalia Mama Big kama vile anasinzia sasa sijui ndio ilikuwa staili ya kumuweka sawa au kweli alikuwa ana usingizi
 
Babu hivi kiuno chako uwa kinaumia ukiwa unacheza kwenye dance floor na mjukuu kama juzi au huwa ni kisingizio tu
Babu The Finest..... kucha zako ndefu hebu njoo nkukate!!

Mwulize askofu Babu aliteguaje kigudi chake......lol
 
AAAAAAAAAAAaaaaaaaH Nimechoka bana m2 mwenyewe anaanza kuringa ka nini. Mi najitoa kwene hiki kinyanganyiro.
 
Hahahahaaaaaaaaaa......... Mama Big kwani ndo tayari ushawekwa kinyumba? Mbona uji nawe watafutwa huku ka jasho la kuku?

Hebu njoo kuna ntu anataka kuludicha loho kwa kukukocha chamaki nchanga wake!!

Mama Big anakusalimia sana nime😛hone:😛hone:muda si mrefu uliopita anawamiss sana
 
Babu nilikuwa naona akimwangalia Mama Big kama vile anasinzia sasa sijui ndio ilikuwa staili ya kumuweka sawa au kweli alikuwa ana usingizi

Nlikuwa naogopa kunusishwa.... umri huu babu kupiga chafya wala hailipi lol....ugoro anaonletea kajukuu wantosha sana kwenye kunusa.
 
Hamna noma utatukuta wote hapa.....njoo na barabara ya Sam Nujoma.....sijui utakuwa unatokea wapi?

Si umwachie nafasi ya kumuandaa jogoo? Akiwa tayari atakuita bana....
 
Nlikuwa naogopa kunusishwa.... umri huu babu kupiga chafya wala hailipi lol....ugoro anaonletea kajukuu wantosha sana kwenye kunusa.

Kuna kipindi Mama Big aliniambia sijui akafuate dance floor pale lakini akasema ngoja akuache maana anaweza kumfanya babu asiende kwa bibi halafu sasa ikawa taabu
 
Kuna kipindi Mama Big aliniambia sijui akafuate dance floor pale lakini akasema ngoja akuache maana anaweza kumfanya babu asiende kwa bibi halafu sasa ikawa taabu

Hivi dance floor ina uhusiano gani na kiuno cha Asprin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…