Umefufuka mkuu?
rais alikuwa anatania tuhahahaah we si unajua raisi amekataza mukide mukide
JmnJamani bye stay safe
Haaah dah jamaa fundiniandikie shairi nikampelekee shemeji yako
Kabisaaaaaah dea [emoji1][emoji1]Aise kuna watu mko vizuri kwenye utunzi wa mashairi, haya mambo ndiyo yalitufanya wengine tukimbie masomo kama Kiswahili na Language A Level.