Mkuu umepiga master ya nini? Samahani kwa swali hili sio kwa nia mbaya lakini.#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
Antena hakunaHahhaha sijui sisi wakuria tulikukosea nn , je umekutana na wakuria wa mjini hatuna mambo ya ubabe, [emoji23][emoji23][emoji23]
Bhana sio woteAntena hakuna
Akikujibu nitag under NyeteMkuu umepiga master ya nini? Samahani kwa swali hili sio kwa nia mbaya lakini.
NyeteSawa
Smart guy
Hapo sasa kuna mda najiuliza pia ?Hivi sisi wakurya tuliwakosea nini[emoji134][emoji134]
Yaani hadi tuwekewe STOP kubwa namna hiyo[emoji1745][emoji1745]Hapo sasa kuna mda najiuliza pia ?
Kabisa eti "Kurya feminists are highly prohibited " hii ni discrimination aiseeYaani hadi tuwekewe STOP kubwa namna hiyo[emoji1745][emoji1745]
Wadogo zetu wanafundishwa na watu wa namna hii ?#Nina miaka 26
#Masters degree holder
#Tutorial Assistant katika moja ya University hapa Tz
Namtafuta mchumba awe:
#charming person
#age 19-23
#Christian
#Awe humble
#Atleast awe na elimu hata kama level ndogo but atleast form 4
#Must be serious on a matter on hand, a dream runner, have an inner desire for a family growth.
#Nasisitiza awe serious lengo langu siyo kumbandua, ni uchumba na mioyo yetu ikimeet tufanye family..
#Kurya feminists are HIGHLY PROHIBITED!!
#Njoo Inbox
Hana exposure vizuri na wakurya huyu.Kabisa eti "Kurya feminists are highly prohibited "