Rweye......ina maana mpaka leo bado tu hujapata??
Mbona kuna wadada humu huwa wanaweka mabandiko ya kutafuta wachumba..... usinambie huwa huyaoni lol!!
Anyways....good luck!!
Dada angu naamini kabisa hautaweza kuamini ila naomba amini haya maneno yangu.. bado mimi ni single boy.