Namtafuta Mchungaji Kibona

machashi

Member
Joined
Aug 17, 2019
Posts
15
Reaction score
5
Mchungaji Kibona ni rafiki yangu. Alikuwa mchangiaji sana humu na nafahamiana naye. Namtafuta sana sijamuona siku nyingi, miaka zaidi ya mitatu. kama yupo anitafute anajua namba zangu.
 
Mchungaji Kibona ni rafiki yangu. Alikuwa mchangiaji sana humu na nafahamiana naye. Namtafuta sana sijamuona siku nyingi, miaka zaidi ya mitatu. kama yupo anitafute anajua namba zangu.
Maisha yalimshinda alirudi kwa Ileje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…