sepema
JF-Expert Member
- Jun 13, 2019
- 591
- 1,001
Natumai hamjambo.
Mimi nimwanaume wa miaka34 saivi.Nimeajiriwa nipo kikazi Moshi,dini yangu ni mkristo. Nahitaji mwanamke nitakae dumu nae Kweny uchumba kwa muda mfupi(ili tu kujuana kiundani),na ifikapo December mwaka huu tuwe tumefunga ndoa.
Sifa za huyu mwanamke;
Umri miaka 30-33
Awe mkristo wa dhehebu lolote(isipokua mashahidi wa jehova)
Awe mwajiriwa wa serikali(akiwa mwalimu itapendeza zaidi)
Kama hayupo mkoa wa Kilimanjaro awe tayar kuhamia Mara baada ya ndoa.
Mengine tutaelezana pm
Mimi nimwanaume wa miaka34 saivi.Nimeajiriwa nipo kikazi Moshi,dini yangu ni mkristo. Nahitaji mwanamke nitakae dumu nae Kweny uchumba kwa muda mfupi(ili tu kujuana kiundani),na ifikapo December mwaka huu tuwe tumefunga ndoa.
Sifa za huyu mwanamke;
Umri miaka 30-33
Awe mkristo wa dhehebu lolote(isipokua mashahidi wa jehova)
Awe mwajiriwa wa serikali(akiwa mwalimu itapendeza zaidi)
Kama hayupo mkoa wa Kilimanjaro awe tayar kuhamia Mara baada ya ndoa.
Mengine tutaelezana pm